EDO KUMWEMBE: Mchezaji samba Bruno Gomes anafikirisha mambo mengi

EDO KUMWEMBE: Mchezaji samba Bruno Gomes anafikirisha mambo mengi

Ametoka kwao Kuja dunia ya tatu kusaka maisha. Anacheza Singida, anaishi Singida. Halafu kuna ndugu zetu wamezaliwa dunia ya tatu hawajawahi kuishi popote nje ya dunia ya tatu ila wamehamishiwa Dodoma wanalialia mwaka wa 7 huu.
 
Bruno ni player jamaa anafanya kile unachotaka kuona mchezaji anafanya
Ila bado nasema walicho nacho Singida ni scout Bora sio TU kwa wageni hata kwa wazawa jamaa anachukua wachezaji Bora sana halafu bila kelele Wala shida za kisheria kingine ni team manager kajenga nidhamu ya hali ya juu kwenye timu,kwa Sasa ingizo la Kagoma na Nashon aisee ningependa Bruno asiondoke pale acheze champions league
 
Bruno ni player jamaa anafanya kile unachotaka kuona mchezaji anafanya
Ila bado nasema walicho nacho Singida ni scout Bora sio TU kwa wageni hata kwa wazawa jamaa anachukua wachezaji Bora sana halafu bila kelele Wala shida za kisheria kingine ni team manager kajenga nidhamu ya hali ya juu kwenye timu,kwa Sasa ingizo la Kagoma na Nashon aisee ningependa Bruno asiondoke pale acheze champions league
Ila kocha hawana.
 
Sasa kwakua ni mbrazili atapambwa kweli, yani huyo mbrazili wenu hafiki hata robo kwa feisal, acha mayele kwa mayele ndio kabisaa
 
Ila makaveli10 una ka damu ka Uyanga kwa mbaliii [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Makavelli10 ni Mpenzi wa soka, anaipenda soka, anaijua soka. Hana Muda wa kuongea mapambio hata yasiyo na faida. Anaongea realty. Achana na wafia timu.
 
Bongo huwa hatuna uvumilivu kwenye mambo yetu, sijui wa kuandaa wachezaji toka wadogo au kuscout wachezaji...
 
Makavelli10 ni Mpenzi wa soka, anaipenda soka, anaijua soka. Hana Muda wa kuongea mapambio hata yasiyo na faida. Anaongea realty. Achana na wafia timu.
Sisi wafia timu wacha tuendelee na mambo yetu yaleee
 
Sote tutapata wachezaji wazuri..maana na sisi tunamchukua fei toto
Uzuri kwenye mpira kila mchezaji yupo sokoni cha msingi ufuate utaratibu na club yenye mkataba nae so kila mkataba unaweza kuvunjika cha msingi utaratibu ufuatwe na pande mbili zikubaliane tu.

Ila huyo anakuja Yanga.
 
Kocha rafiki mpendwa wa Mwigulu ila anajitahidi maana kwa Tanzania ukiondoa yanga timu zote hazina makocha
Kwa wachezaji waliopo Singida, walipaswa kufanya zaidi ya hiki tunachokiona.
 
Kwangu Edo anabaki kuwa mchambuzi wa kipekee katika kulifikiria na kuliandika soka letu na la wengine.
 
Kwa wachezaji waliopo Singida, walipaswa kufanya zaidi ya hiki tunachokiona.
Wako nyuma ya Azam Simba na Yanga hata wangekuwa na Pitso au Pep kwa soka letu hawawezi kuwa zaidi ya hapo walipo labda TU watamshusha Azam hapo walipo maana sidhani kama Azam atamfunga Simba wakati wao wanayo nafasi ya kumfunga Ihefu kwenye mechi zijazo na Azam akienda kwa Ihefu atapoteza tena hakuna kitu kocha angefanya zaidi ya anachofanya nadhani yuko vizuri
 
Back
Top Bottom