Edo Kumwembe na milioni sita za Azam Tv

Rio Tinto

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2014
Posts
777
Reaction score
451
Inasemekana ya kuwa undisputed Tanzania top football Analyst Edo Kumwembe analipwa milioni sita kwa mwezi kwa kazi ya uchambuzi wa soka ndani ya Azam TV.

Ikumbukwe kuwa nguli huyo wa kuchambua soka ana mikataba binafsi na Bin Slum Tyrea na TSN group of companies. Edo Kumwembe pia ni mwajiriwa wa Mwananchi Communications Limited.
 
Sawa tumekuelewa.
Edo anatosha sana,anatumia kalamu yake vizuri
 
Kiukweli Eddo ni mchambuzi bora wa soka kwangu Tanzania nzima...anajua anachokifanya
Hua napenda sana makala zake

Hata makala zake napenda kusoma ni mchambuzi anaefahamu nini anachambua
 
Hata makala zake napenda kusoma ni mchambuzi anaefahamu nini anachambua

Kuna makala yake moja ya Guardiola eti aliinusuru shingo yake kwa kuikataa ofa ya kuifundisha Chelsea maana Abramovic hua anashika pesa mkono wa kushoto na kulia panga kali..niliipenda sana na nyingine nyingi
 
Kuna makala yake moja ya Guardiola eti aliinusuru shingo yake kwa kuikataa ofa ya kuifundisha Chelsea maana Abramovic hua anashika pesa mkono wa kushoto na kulia panga kali..niliipenda sana na nyingine nyingi

Nifah u have impressed me....try me u won't be disappointed
 

Fafanua kwenye mikataba ya tsn na binslum
 
[QUO TE=Rio Tinto;11142927]inasemekana ya kuwa undisputed tanzania top football analyst Edo kumwembe analipwa milioni sita kwa mwezi kwa kazi ya uchambuzi wa soka ndani ya Azam TV...ikumbukwe kuwa nguli huyo wa kuchambua soka ana mikataba binafsi na Bin Slum Tyrea na TSN group of companies....Edo kumwembe ni mwajiriwa wa Mwananchi Communications Limited[/QUOTE]
Eddo ni mchambuzi bora zaidi kwenye maandishi na mambo ya soka nyuma ya pazia ila mchambuzi bora zaidi wa soka katika uhalisia wake nikimaanisha mchambuzi mechi hadi mechi Dk leakey
 
Angekuwa mbele angekuwa bonge la celebrity namfananisha na Gary Neville kwa uchambuzi kwa sasa, anaongea facts na ukweli mtupu!
Sema kibongo bongo tutamsahau badae..
 
Anastahili sijawahi kukosa makala zake kwenye Mwanasport.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…