Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Wakati fulani nilikuwa nanunua Mwanaspoti kusoma "Nyuma ya Pazia" baada ya hapo basi tena.
Wakikaa Oct utamjua to ninanii kajiandikishen basi
Naomba tu kumfahamu huyu jamaa ni nani katika siasa maana nimeona groups mbali mbali whatsup wakinakili alichokipost.
Simfahamu, nataka kumfahamu ni nani?
Yupo vizuri lakini wakati mwingine uchambuzi wake hugubikwa na unazi kwa timu yake.
Ana kadi ya wamatopeni na siku za mechi hupendelea kukaa huko!Ni tim gani huyu jamaa?