Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Edo alisema Senegal imesheheni wachezaji Wengi na Bora wanaocheza Vilabu vikubwa Barani Ulaya zaidi ya Sakho hivyo ni ngumu wachezaji wanaocheza Ligi za Afrika kuitwa Katika Timu hiyo.
Jana Mchezaji wa Klabu ya Simba Pape Ousman Sakho ameweka Historia Kuwa Mchezaji Pekee anayecheza Ligi za Afrika kuitwa Timu ya Taifa ya Senegal.
Je, unamshauri Nini Edo Kumwembe?
Pia soma:
- Pape Sakho aitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Senegal