Edo Kumwembe: Unyonge ni ujinga sio sifa

Edo Kumwembe: Unyonge ni ujinga sio sifa

ESCORT 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
1,412
Reaction score
3,043
Mchambuzi wa michezo wa kituo cha Wasafi Fm, Edo Kumwembe amejikuta akimjibu Mtangazaji mwenzake Zembwela kuwa Unyonge ni ujinga na sio sifa!

Hiyo ni baada ya Zembwela kupost picha ya aliyekuwa Rais wa awamu ya 5, hayati JPM kuwa "Wanyonge tutakukumbuka" ndipo Edi alipomjibu "Unyonge sio sifa ni ujinga"

Neno "Wanyonge" lilikuwa ni miongoni mwa misamiati maarufu katika awamu ya tano na kujichukulia umaarufu mkubwa!!


My take:
Namuunga mkono Edo, kuitwa mnyonge na kuukubali Unyonge ni upuuzi.

2EE29491-C212-425F-8CA1-F6C96FCAF258.jpeg
 
Mchambuzi wa michezo wa kituo cha Wasafi Fm, Edo Kumwembe amejikuta akimjibu Mtangazaji mwenzake Zembwela kuwa Unyonge ni ujinga na sio sifa!

Hiyo ni baada ya Zembwela kupost picha ya aliyekuwa Rais wa awamu ya 5, hayati JPM kuwa "Wanyonge tutakukumbuka" ndipo Edi alipomjibu "Unyonge sio sifa ni ujinga"

Neno "Wanyonge" lilikuwa ni miongoni mwa misamiati maarufu katika awamu ya tano na kujichukulia umaarufu mkubwa!!


My take:
Namuunga mkono Edo, kuitwa mnyonge na kuukubali Unyonge ni upuuzi.

View attachment 1953521
Kumwembe yupo sahihi sana!! Eti wakati wa magu umasikini ulikua ni sifa!?? "Mimi Rsis wa masikini!!!" Umasikini ni laana!!!!
 
Hata kama siyo sifa watanzania wengi wanaonewa na kukandamizwa na hawajui waende wap,ukitaka kujua jiridhishe kwa wananchi walio wengi wanamalalamiko na hawajui nani atayamaliza, wanyonge ni wengi sana..
 
Kwani mlikuwa hamjui hilo!mpaka edo ndiyo awambie

Ova
Mkuu christiania Denmark 'Freetown' leo inatimiza miaka hamsini. Yani hapa nimeshapuliza kitu cha Arusha i feel aireeeehni full bata maamae. Nawashangaa tu wanyonge huko homu.
 
Mchambuzi wa michezo wa kituo cha Wasafi Fm, Edo Kumwembe amejikuta akimjibu Mtangazaji mwenzake Zembwela kuwa Unyonge ni ujinga na sio sifa!

Hiyo ni baada ya Zembwela kupost picha ya aliyekuwa Rais wa awamu ya 5, hayati JPM kuwa "Wanyonge tutakukumbuka" ndipo Edi alipomjibu "Unyonge sio sifa ni ujinga"

Neno "Wanyonge" lilikuwa ni miongoni mwa misamiati maarufu katika awamu ya tano na kujichukulia umaarufu mkubwa!!


My take:
Namuunga mkono Edo, kuitwa mnyonge na kuukubali Unyonge ni upuuzi.

View attachment 1953521
Maandiko matakatifu yanasisitiza kuwajali wanyonge. Edo atakuwa anafikiria uteuzi.
 
Mchambuzi wa michezo wa kituo cha Wasafi Fm, Edo Kumwembe amejikuta akimjibu Mtangazaji mwenzake Zembwela kuwa Unyonge ni ujinga na sio sifa!

Hiyo ni baada ya Zembwela kupost picha ya aliyekuwa Rais wa awamu ya 5, hayati JPM kuwa "Wanyonge tutakukumbuka" ndipo Edi alipomjibu "Unyonge sio sifa ni ujinga"

Neno "Wanyonge" lilikuwa ni miongoni mwa misamiati maarufu katika awamu ya tano na kujichukulia umaarufu mkubwa!!


My take:
Namuunga mkono Edo, kuitwa mnyonge na kuukubali Unyonge ni upuuzi.

View attachment 1953521
Iko hivi hata akatae kuitwa mnyonge kama ni mnyonge haibadirishi kitu wewe ni mnyonge tu sababu unyonge ni hali ambayo ni halisi na ipo na wanyonge wapo.
 
kukubali kuitwa mnyonge ni kukubali kutawaliwa na sio kuongozwa
Ndiyo! Si vyema kabisa kukubali jina linalokudhalilisha na kuchekelea....Ukiwa maskini unatakiwa kupambana na kutoka mahali hapo
MY TAKE: KUZALIWA MASKINI SIO KOSA ILA KUFA MASKINI NI KOSA, NA KUWA MNYONGE SIO KOSA ILA KUUKUBALI UNYONGE NI KOSA!!!
 
KUMWEMBE ASANTE SANA,,SASA MACHINGWA WAKIKUBALI KUAHMISHWA WATAKUWA NI VILZA NA WANYONGE,, NATALAJIA WATAKATAA KUWA WAJONGE MBELE YA MAMLAKA ZA KIERIKALI....INGAWA KWENYE TOZO WAOTE WATANZANIA WALIONYESHA UNYONGE WAKUONYESHA HAWAWEZI TOZO KWANI WAO NI MAFUKALA
 
Kwangu mnyonge ni wajane,yatima,walemavu na wazee,the rest to hell,baba zima na mindevu na kitambi unaitwaje mnyonge,nguvu huna na mkwara je
 
KUMWEMBE ASANTE SANA,,SASA MACHINGWA WAKIKUBALI KUAHMISHWA WATAKUWA NI VILZA NA WANYONGE,, NATALAJIA WATAKATAA KUWA WAJONGE MBELE YA MAMLAKA ZA KIERIKALI....INGAWA KWENYE TOZO WAOTE WATANZANIA WALIONYESHA UNYONGE WAKUONYESHA HAWAWEZI TOZO KWANI WAO NI MAFUKALA
Mkuu shule ulienda kujifunza alphabet au kukua?
 
Kwani mlikuwa hamjui hilo!mpaka edo ndiyo awambie

Ova
Achana nao hao cndio wamejazwa ujinga kwa kukaririshwa kuwa wao ni wanyonge tena maskini eti wana na raic wao wenyewe walituambia wajinga ndio waliwao%%%%%$
 
Iko hivi hata akatae kuitwa mnyonge kama ni mnyonge haibadirishi kitu wewe ni mnyonge tu sababu unyonge ni hali ambayo ni halisi na ipo na wanyonge wapo.
Kwann uwe mnyonge kiuchumi!?/una afya ,una akili,una ardhi inayoweza kufuga ,kulima na nk!! Umekaa unajiita mnyonge!!! Pambana mzee
 
Kwann uwe mnyonge kiuchumi!?/una afya ,una akili,una ardhi inayoweza kufuga ,kulima na nk!! Umekaa unajiita mnyonge!!! Pambana mzee
Hii kauli walishaisema wengi wakiwa kwenye ukwasi. Ukipukutika ndio utajua yote ni maisha tu.
 
Huyo ni moja ya watu ambao mlengo wake unafahamika. Msikilize kwenye michezo huko kwingine muachie mwenyewe deal na michongo yako.
 
Back
Top Bottom