Edson Mbogoro mpiganaji wa kweli aliyemwakilisha vema Mnyika katika kesi yake.

Edson Mbogoro mpiganaji wa kweli aliyemwakilisha vema Mnyika katika kesi yake.

Jamaa namfahamu vizuri huyu nilipiga naye kazi Songea kipindi flani ni kichwa katika sheria anatishaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!

Natafuta contacts za huyu bwana, kama unazo au kama unajua namna ya kumpata nipm mkuu.
 
Ubunge songea hatausikia kwenye redio,,kapigwa mara ngapi na kitu chenye ncha kali!!!
 
Back
Top Bottom