CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Naomba anayejua yanapopatikana "MATERIALS" ya masomo yafuatayo, hasa huku Tanzania (yaani Dar-es-salaam).
Mathematics
Biology
History
Geography
Civics
English
Kiswahili
Yaani past papers zilizokuwa solved, mfano pamphlets kuanzia mwaka 2008 - 2012 na hata vitabu pia.
Nakumbuka enzi zetu tulikuwa tunatumia pamphlets, kwa sasa naona kuna vitabu vingi sana vya namna hiyo.
Nahitaji kama copy 3 tofauti katika kila somo. Kwa maana ya kwamba jumla ya copy ambazo si chini ya 21 (i.e Maths - 3 different copies, Bios - 3 different copies, ......)
Mathematics
Biology
History
Geography
Civics
English
Kiswahili
Yaani past papers zilizokuwa solved, mfano pamphlets kuanzia mwaka 2008 - 2012 na hata vitabu pia.
Nakumbuka enzi zetu tulikuwa tunatumia pamphlets, kwa sasa naona kuna vitabu vingi sana vya namna hiyo.
Nahitaji kama copy 3 tofauti katika kila somo. Kwa maana ya kwamba jumla ya copy ambazo si chini ya 21 (i.e Maths - 3 different copies, Bios - 3 different copies, ......)