majitta one
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 204
- 14
wakuu napenda kujulishwa kati ya bacholar ya ualimu (MASOMO YA SAYANSI) na uhandisi ni ipi inalipabkatika soko ajira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisome degree yoyote hapo, labda diploma. Vinginevyo utapigwa disco mapema sana!wakuu napenda kujulishwa kati ya bacholar ya ualimu (MASOMO YA SAYANSI) na uhandisi ni ipi inalipabkatika soko ajira
usisome degree yoyote hapo, labda diploma. Vinginevyo utapigwa disco mapema sana!
kwa nini mkuu.
Mbona kuna watu wanamaliza kwani mimi nina nini.
Tayari nina diploma ya engineering.
kasome bachelor ya engineering.... Achana na bacholar
i would av say engineering but dats accordng to mai real experience, ningekushauri u go for wat u can do n not ipi inalipa
uhandisi wa kada gani? Elezea kwanza tukufafanulie, mbona ualimu umeweka wazi kwamba ni kwa masomo ya sayansi?
real madrid vs mgambo jkt.