njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
habari mbaya kwetu wana simba, damn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
niliweka neno KAMA NI KWELI which means sikuwa na uhakika ,lakini poa tu ingawa nimesikitika sana kwa kweli ,mimi ni jmshabiki wa mabeki warefuSi ulileta wewe habari humu, imekuaje tena au nawe mzee wa shilawadu tu
Pole sana, ila gadiel michael si yuponiliweka neno KAMA NI KWELI which means sikuwa na uhakika ,lakini poa tu ingawa nimesikitika sana kwa kweli ,mimi ni jmshabiki wa mabeki warefu
Au ndo wale wachambuzi ,,,,,,,,,,Si ulileta wewe habari humu, imekuaje tena au nawe mzee wa shilawadu tu
🤣🤣🤣🤣Au ndo wale wachambuzi.
[emoji23][emoji23]
Kuwa mrefu sio kuwa na uwezo wa kucheza aerial goal Mkuufanyeni mfanyavyo viongozi tupate beki mrefu na kiungo mkabaji mrefu tumechoka kufungwa aerial balls
utalinganisha uwezo wa kuruka mipira ya kichwa wa mtu kama manyama vs zimbwe jr au dickson job?Kuwa mrefu sio kuwa na uwezo wa kucheza aerial goal Mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23]Yaani kuanzia sasa sitoamini mwandishi yeyote yule zaidi ya taarifa kamili ya klabu!! Waandishi wa Tanzania ni takataka tupu