Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Leo hii ni kumbukizi ya kifo cha aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania na kipenzi cha watanzania mh Edward Moringe Sokoine kilichotokea 12.04.1984.
Marehemu alipata ajali ya gari akiwa njiani kutokea Dodoma kuelekea Dar es salaam ambapo alikuwa ameahirisha kikao cha bunge.
Watanzania tunazidi kumuombea pumziko la milele huko aliko.
Marehemu alipata ajali ya gari akiwa njiani kutokea Dodoma kuelekea Dar es salaam ambapo alikuwa ameahirisha kikao cha bunge.
Watanzania tunazidi kumuombea pumziko la milele huko aliko.