Edward Ngoyai Lowassa ana nyota kali

Edward Ngoyai Lowassa ana nyota kali

Mamvi anachukua nchi saa 4 asbh ✌️✌
 
Lowassa....

Mungu ambarik maisha marefu mnoo.......

My first born ataitwa lowassa
 
Nimeamini Lowassa ni chaguo la Mungu,yaan kila napopita ni Lowassa tu aiseee hakuna nani wala nanii wote kafunikaa,ni mtu anaeongozwa kusemwa sana kwenye vyombo vya habari kama tv,magazeti,radio .vyoye ni Lowassa tu hakika ni Raisi anaetarajiwa na watanzania wote yaan Vipaumbele vyake ni Elimu,Elimu bure ,vivukio bureee hakuna kuogelea wala kupiga mbizi tenaa,japo tume ya uchaguzi ni ya ccm Lowassa ataingia ikulu kiulaini kama ananawa
Waogope sana watu waonbao kura kwa makeke mengi kama chenga za Messi
Tuyakubali mabadiliko,tusiupende umasikinii ,umasikini ni dhambi sio sifa,Tumpigie kura za mafuriko Lowassa
Tunakupenda Lowassa na tunataka mabadiliko

Kwa binadamu wasio na Mungu kuna nyota. "Ndimi ni Bwana Mungu wako usiabudu kiumbe chochote chini ya jua". Kisha unatuletea habari za nyota? We vipi.
 
Nimeamini Lowassa ni chaguo la Mungu,yaan kila napopita ni Lowassa tu aiseee hakuna nani wala nanii wote kafunikaa,ni mtu anaeongozwa kusemwa sana kwenye vyombo vya habari kama tv,magazeti,radio .vyoye ni Lowassa tu hakika ni Raisi anaetarajiwa na watanzania wote yaan Vipaumbele vyake ni Elimu,Elimu bure ,vivukio bureee hakuna kuogelea wala kupiga mbizi tenaa,japo tume ya uchaguzi ni ya ccm Lowassa ataingia ikulu kiulaini kama ananawa
Waogope sana watu waonbao kura kwa makeke mengi kama chenga za Messi
Tuyakubali mabadiliko,tusiupende umasikinii ,umasikini ni dhambi sio sifa,Tumpigie kura za mafuriko Lowassa
Tunakupenda Lowassa na tunataka mabadiliko

Ndivyo walivyo ma free masons.
 
Matumaini trans mnaendeleaje na safari yenu?
 
Back
Top Bottom