Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa sijiona hoja ya kujibu kutoka kwako kwasababu mwaka 2015 akina mbowe na wenzake waliuza vyama vyao mbele ya macho ya Kila mtanzaniaJifunze kufanya mijadala ya JF.. Jibu hoja kwa hoja na sio viroja
Japo siasa hasa za nchi yetu msingi wake mkuu ni unafiki(yawezekana Mh Lowassa alihusika na tuhuma zile) lakini hotuba yake ilikua nzito na yenye mpangilio haswa,bunge lilitulia sana kusikiliza sauti iliyobeba taswira ya kiongozi shupavu.Kwangu Mimi hotuba ya lowassa kujiuzulu ndio hotuba bora kabisa kwa wakati wote
Mwamba anasema mh spika napenda kumpongeza mh Harison George Mwakyembe mwekt wa kamati kwa kusoma hii ripoti bungeni kwa mbwembwe nyingi saana mbwembwe zilikua nzuri mno
" Mh spika mh Herison Mwakyembe ni mwanasheria alikua anafundisha vijana wetu pale chuo kikuu moja ya vitu alivofundisha ni suala la natural justice
Mimi sijaulizwa, kulikua na shida gani ya kuniuliza? Mh spika ofisi ya kamati na ofisi kwangu ni karibu stone throw wangeniita ningeenda kwa hata kwa mguu kama siku hyo kusingekua na gari, lkn kamati imesafiri mpm marekani lkn mtu wanayemtuhumu hawajamuuliza
Nikajiuliza hivi hasa kuliko ili ionekane waziri mkuu amefanya haya tumuondolee heshm au tumwajibishe nikajiuliza ikiwa haya yametendwa kwa mtu ambaye ni waziri mkuu hivi kwa mtu wa kawaida itakuaje?
Nimedhalilishwa saaana nimeonewa sana na nimefedheheshwa saana me nadhani they wish which am going to grant ni uwazi mkuu tatizo ni uwazir mkuu
Nimetafakar saana kwa niaba ya serikali yangu kwa niaba ya chama changu nimemwandikia raisi barua ya kuomba niachie ngazi. Nafanya hivi kwa moyo mweupe kabisa ili kuonesha dhana ya uwajibikaji lakn na kutokukubalian na ungo uliotumika kumsingizia mtu ndani ya bunge.
kiuhalisia kwa 2015 Lowasa ndio ilikua dira sahihi yawatz yaani hata wapinzani waliona maono makubwa yaliyomo ndani yake wananchi walimkubali na haitakuja tokea mtu atakaye kubalika angalau nusu yake kiukweli huyu mwamba angechukua nchi ingekua namuelekeo sahihi kabisa kimaendeleo kwa maana nimtu mwenye uthubutu na muwaziSasa sijiona hoja ya kujibu kutoka kwako kwasababu mwaka 2015 akina mbowe na wenzake waliuza vyama vyao mbele ya macho ya Kila mtanzania
Mawaziri wakuu wengine wanaoshikilia rekodi hapa Tanzania ni wawili. Hawa waliwahi kuhudumu kwenye nafasi hiyo kwenye vipindi viwili tofauti; na mmojawapoaliwahi kuhudmu kwenye awamu mbiliEdward Ngoyai Lowassa (amezaliwa Agosti 26, 1953) ni mwanasiasa Mtanzania ambaye alikuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kuanzia 2005 hadi 2008, akihudumu chini ya Rais Jakaya Kikwete. Lowassa ameingia katika rekodi ya kuwa Waziri Mkuu wa kwanza kulazimishwa kujiuzulu kutokana na kashfa ya utapeli katika historia ya Tanzania.View attachment 2478209
Mnaangaika kwa chuki dhidi ya Jakaya angalia mnavyoweweseka mara Lowassa mara Mkapa,wajinga sana.Siyo kweli, ilikuwa ni Mkapa (RIP) fedha zilitoka baada ya Tanzania kusamehewa madeni, Shule za Kata na Zahanati zote ni kazi ya Mkapa, Kikwete alijenga udom , …
Because he is costing us billions in tax money laying limp in a Johannesburg exorbitant hospital.Nyuzi za Lowassa mbona nyingi
Mnaangaika kwa chuki dhidi ya Jakaya angalia mnavyoweweseka mara Lowassa mara Mkapa,wajinga sana.
matoleo au msalagambo ninguvu zawananchi huku wakishawishiwa na LowasaShule za Kata zilijengwa kwa Fedha gani? I mean fedha za kujengea zilitokea wapi?
Because he is costing us billions in tax money laying limp in a Johannesburg exorbitant hospital.[emoji3064]Because he is costing us billions in tax money laying limp in a Johannesburg exorbitant hospital.
At some point you wish the family would have a patriotic sense to simply pull the plug and allow the country to have some measure of closure and peace from the decades long demons of Lowassa.
It is hard to imagine that he has depleted all the ill-gotten gazzilions of shillings he amassed from his government positions as the reason why he won't foot the balloning medical bill himself.
Because he is costing us billions in tax money laying limp in a Johannesburg exorbitant hospital.[emoji3064]Kwa sababu anatugharimu mabilioni ya pesa za ushuru akiwa amelegea katika hospitali kuu ya Johannesburg.Because he is costing us billions in tax money laying limp in a Johannesburg exorbitant hospital.
At some point you wish the family would have a patriotic sense to simply pull the plug and allow the country to have some measure of closure and peace from the decades long demons of Lowassa.
It is hard to imagine that he has depleted all the ill-gotten gazzilions of shillings he amassed from his government positions as the reason why he won't foot the balloning medical bill himself.
Alijiuzuru ili kuwajibika Kama mtendaji mkuu wa shughuli za serikali na sio alilazimishwa kujiuzuru...!!!Edward Ngoyai Lowassa (amezaliwa Agosti 26, 1953) ni mwanasiasa Mtanzania ambaye alikuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kuanzia 2005 hadi 2008, akihudumu chini ya Rais Jakaya Kikwete. Lowassa ameingia katika rekodi ya kuwa Waziri Mkuu wa kwanza kulazimishwa kujiuzulu kutokana na kashfa ya utapeli katika historia ya Tanzania.View attachment 2478209
Wazazi wa zamani hawakumbuki tarehe za watoto wao kuzaliwaKikwete alizaliwa 1950 anakaribia miaka 73, Lowassa 1953 anakaribia miaka 70. Ukiwaangalia utadhani Lowassa yupo zaidi ya miaka 80.
Sijui wewe PS wa hazina,mwenye wivu na chuki.Shule za Kata zilijengwa kwa Fedha gani? I mean fedha za kujengea zilitokea wapi?