Edwin Odemba kilichomliza ni nini sasa kama sio ujinga na utoto? Mwanaume gani unalia hadharani?

Edwin Odemba kilichomliza ni nini sasa kama sio ujinga na utoto? Mwanaume gani unalia hadharani?

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Hakupaswa kulia.
Lakini mijadala ya kuwashambulia "watu wasiojulikana" lazima italeta taharuki .
Kwa sababu unakuwa hujui " watu wasiojulikana" watafanya nini .
Lakini Nchinbi asingeweza kwenda kule kwa sababu alikuwa na mkutano wa sekretatariet kutayarisha ajenda ya mkutano wa Kamati Kuu ya Chama.
Remember,makamu wa Mwenyekiti wa Chama hajateuliwa bado.
Kwa hiyo there are many things to discuss.
Lakini Tanzania wanaogopa sana violence.
Watanzania wanaweza kuishi Chicago,the murder capital of the world,now for 12 consecutive years it is the murder capital of the world.
In 2023 watu 716 waliuawa Chicago. Philadelphia waliuawa 416.
New York was third with a modest 386 murders in 2023.
Chicago is Democrat -led na ndipo Democrats walipofanyia Convention yao.
There are only three million people in Chicago compared to Dar's 7.9 million.
 
Huyu Edwin odemba ana mapungufu upstairs mwanaume gani unalia hadharani hafu inaonekana alitaka kuwazoea zoea Sana viongozi hana elimu wala uwezo wa kumhoji hata mwenyekiti wa mtaa wa CCM Anawezaje akaongoza mdahalo na katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi chama cha Nyerere ana elimu kiasi gani au kupuyanga tu
Unaeleza uchafu gani hapa!
Mara nyingi kichaa hukupanda kichwani, sijui shauri ya nini? Huko CCM mmelogwa au kuna kitu gani; maanake wote mnaojaza takataka humu ni kama vichwani mwenu 'screw' zimelegea.

Sasa nime kwambia, usije na moto, kwa sababu takataka kama nyie huwa sina simile nazo.
Hovyo Kabisa.
 
Hakupaswa kulia.
Lakini mijadala ya kuwashambulia "watu wasiojulikana" lazima italeta taharuki .
Kwa sababu unakuwa hujui " watu wasiojulikana" watafanya nini .
Lakini Nchinbi asingeweza kwenda kule kwa sababu alikuwa na mkutano wa sekretatariet kutayarisha ajenda ya mkutano wa Kamati Kuu ya Chama.
Remember,makamu wa Mwenyekiti wa Chama hajateuliwa bado.
Kwa hiyo there are many things to discuss.
Wakati mama yako mzazi yupo darasa la 7 kulikuwa na kitu kikiitwa mchakato majimboni ambacho CCM walikimbia
 
Hajui kama mfumo wa ccm, huwa ni wa kiutendaji zaidi na hautegemei issue za malumbano ya kimidahalo, ccm mean work!, aiulize ccm, wapi hakuna shule, wapi hapana umeme, kwanini barabara pale haujafika n. k.
 
Huyu Edwin odemba ana mapungufu upstairs mwanaume gani unalia hadharani hafu inaonekana alitaka kuwazoea zoea Sana viongozi hana elimu wala uwezo wa kumhoji hata mwenyekiti wa mtaa wa CCM Anawezaje akaongoza mdahalo na katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi chama cha Nyerere ana elimu kiasi gani au kupuyanga tu
ni mshirikina na wakala wa uchawi yule,
analia kwasabb alitumwa kumtega na kumfanyia uchawi moja kati ya makatibu wakuu wa chama muhimu sana humu nchini kwa ahadi ya kupewa pesa mingi sana,

sasa Mungu akaingilia kati na kumuumbua hadharani, mtego umekwama kunasa na pesa mingi amekosa dah, ikamlazimu kuangua kilio cha nguvu hadharani tena kwa uchungu mkubwa 🐒
 
ni mshirikina na wakala wa uchawi yule,
analia kwasabb alitumwa kumtega na kumfanyia uchawi moja kati ya makatibu wakuu wa chama muhimu sana humu nchini kwa ahadi ya kupewa pesa mingi sana,

sasa Mungu akaingilia kati na kumuumbua hadharani, mtego umekwama kunasa na pesa mingi amekosa dah, ikamlazimu kuangua kilio cha nguvu hadharani tena kwa uchungu mkubwa 🐒
Kwa hakika inafikirisha. Kwanza kakosea sana kuruhusu Washiriki kumtuhumu kwa Nchimbi amekimbia.mdahalo.


Na kwa uhalisia haukuwa Mdshalo bali mahojiano.
 
Huyu Edwin odemba ana mapungufu upstairs mwanaume gani unalia hadharani hafu inaonekana alitaka kuwazoea zoea Sana viongozi hana elimu wala uwezo wa kumhoji hata mwenyekiti wa mtaa wa CCM Anawezaje akaongoza mdahalo na katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi chama cha Nyerere ana elimu kiasi gani au kupuyanga tu
Rangi cha hicho chama cha majizi unachosema ni chama cha Nyerere ni kijani na njano. Kama ni chama chake kweli waoneshe wasomaji walau picha moja tu mwalimu akiwa amevaa shati la kijani au njano.
 
Ameshakula hela za chadema kwa hiyo anawaza atazirudishaje, imagine maswali ya kuuliza anapewa na Boniphace Jackob na Martin Maranja Masese, pamoja na Mnyika. Na wanafanya vikao vya siri kabisa. Atafutwe mwandishi mwingine, huyu Odemba ni kada nguli wa Chadema tangu anasoma chuo kikuu
 
ni mshirikina na wakala wa uchawi yule,
analia kwasabb alitumwa kumtega na kumfanyia uchawi moja kati ya makatibu wakuu wa chama muhimu sana humu nchini kwa ahadi ya kupewa pesa mingi sana,

sasa Mungu akaingilia kati na kumuumbua hadharani, mtego umekwama kunasa na pesa mingi amekosa dah, ikamlazimu kuangua kilio cha nguvu hadharani tena kwa uchungu mkubwa 🐒
Na wajaluo ni wachawi kweli kweli, Odemba ni mjaluo pia
 
ni mshirikina na wakala wa uchawi yule,
analia kwasabb alitumwa kumtega na kumfanyia uchawi moja kati ya makatibu wakuu wa chama muhimu sana humu nchini kwa ahadi ya kupewa pesa mingi sana,

sasa Mungu akaingilia kati na kumuumbua hadharani, mtego umekwama kunasa na pesa mingi amekosa dah, ikamlazimu kuangua kilio cha nguvu hadharani tena kwa uchungu mkubwa 🐒
kuna pesa chafu zimemwagwa kutoka kwa yale yanayoigombanisha Dunia manyonya damu za Dunia sasa huyu aliahidiwa kupewa mlungula mrefu na aliandaliwa maswali kilichomuliza ni kukosa zile hela hafu njemba yenyewe haina elimu yoyote Inakurupukaga tu
 
Hajui kama mfumo wa ccm, huwa ni wa kiutendaji zaidi na hautegemei issue za malumbano ya kimidahalo, ccm mean work!, aiulize ccm, wapi hakuna shule, wapi hapana umeme, kwanini barabara pale haujafika n. k.
Hivyo ulivyotaja hata makuburu wa africa kusini walifanya, lakini bado tuliwasupport akina Mandela kuwaondoa madarakani. Maendeleo ni kodi zetu sio hisani ya hao watekaji.
 
Unaeleza uchafu gani hapa!
Mara nyingi kichaa hukupanda kichwani, sijui shauri ya nini? Huko CCM mmelogwa au kuna kitu gani; maanake wote mnaojaza takataka humu ni kama vichwani mwenu 'screw' zimelegea.

Sasa nime kwambia, usije na moto, kwa sababu takataka kama nyie huwa sina simile nazo.
Hovyo Kabisa.
Within 40 minutes ameanzisha nyuzi saba.Saba!Huyu kachanganyikiwa,si bure.Mtu kama huyo ameonesha kuitaharukia nafsi yake namna hii na hatuonani.Vipi kama akijua unapoishi?Si atatafuta majahili wakuteke!?🤔
 
Huyu Edwin odemba ana mapungufu upstairs mwanaume gani unalia hadharani hafu inaonekana alitaka kuwazoea zoea Sana viongozi hana elimu wala uwezo wa kumhoji hata mwenyekiti wa mtaa wa CCM Anawezaje akaongoza mdahalo na katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi chama cha Nyerere ana elimu kiasi gani au kupuyanga tu
Et analizwa na mambo yanayosemwa na viongozi wa chama
 
Back
Top Bottom