Edwin Odemba kilichomliza ni nini sasa kama sio ujinga na utoto? Mwanaume gani unalia hadharani?

Edwin Odemba kilichomliza ni nini sasa kama sio ujinga na utoto? Mwanaume gani unalia hadharani?

Hiyo ni defence mechanism, baada ya kuona wamewa disappointe watu licha ya matangazo lukuki waliyo yatoa hapo nyuma sasa Ili pate public sympathy lazima ajibaraguze Kwa kufanya vile by the way wala yale machozi sio cha moyoni.
 
ni mshirikina na wakala wa uchawi yule,
analia kwasabb alitumwa kumtega na kumfanyia uchawi moja kati ya makatibu wakuu wa chama muhimu sana humu nchini kwa ahadi ya kupewa pesa mingi sana,

sasa Mungu akaingilia kati na kumuumbua hadharani, mtego umekwama kunasa na pesa mingi amekosa dah, ikamlazimu kuangua kilio cha nguvu hadharani tena kwa uchungu mkubwa 🐒
Tiari kurujuani imeanza kufanya kazi na bado
 
Hapo mtu kaweka wadhamini wa kipindi afu wanasisa wamehepa.

Nchimbi sio cresible kabisaaa
 
Huyu odemba angepelekewa moto kama wa Mkuu wa Wilaya pale Busega angepiga yoweee mwanaumee unaliaje
Hakulia, bali alibubujikwa na machozi, japo hatujui ni machozi ya furaha au huzuni, huyu Lucas Mwashambwa anaweza kutusaidia maana yeye ndiye bingwa wa kuona watu wakibubujikwa na machozi na kujua ni ya furaha ama huzuni.
 
Star Tv imefilisika mkurugenzi akamwambia yeye hana hela ya kuandaa ukumbi kwaajili ya huo mdahalo, Odemba akasema yeye anaenda kukopa hela kwahiyo atalipia maandalizi yote ya ukumbi
Kwahiyo lazima alie
 
Unaeleza uchafu gani hapa!
Mara nyingi kichaa hukupanda kichwani, sijui shauri ya nini? Huko CCM mmelogwa au kuna kitu gani; maanake wote mnaojaza takataka humu ni kama vichwani mwenu 'screw' zimelegea.

Sasa nime kwambia, usije na moto, kwa sababu takataka kama nyie huwa sina simile nazo.
Hovyo Kabisa.
Sasa nini kilimliza?
Nilikuwa simuelewi kabisa, nimezidi kutokumuelewa!!

Au ni plan, nimemskia alivyoanza kusema hizo sababu za hao wengine kutoshiriki huo mdahalo.
Huo mpangilio wake haujakaa sawa
 
Hajui kama mfumo wa ccm, huwa ni wa kiutendaji zaidi na hautegemei issue za malumbano ya kimidahalo, ccm mean work!, aiulize ccm, wapi hakuna shule, wapi hapana umeme, kwanini barabara pale haujafika n. k.
nchi zilizoendelea, wenzetu hawakwepi hiki kitu. Is not about utendaji, kama utendaji hauna shaka basi inakuwa haina shida kuuelezea au kujibu maswali, mbona ni rahisi sana?
 
Ameshakula hela za chadema kwa hiyo anawaza atazirudishaje, imagine maswali ya kuuliza anapewa na Boniphace Jackob na Martin Maranja Masese, pamoja na Mnyika. Na wanafanya vikao vya siri kabisa. Atafutwe mwandishi mwingine, huyu Odemba ni kada nguli wa Chadema tangu anasoma chuo kikuu
Hivi amesoma hadi Chuo kikuu na bado analia kwasababu za kitoto hivyo?

Huko Chuo kikuu alifundishwa nini?
 
Huyu Edwin odemba ana mapungufu upstairs, mwanaume gani unalia hadharani?

Halafu inaonekana alitaka kuwazoea zoea sana viongozi, hana elimu wala uwezo wa kumhoji hata mwenyekiti wa mtaa wa CCM anawezaje akaongoza mdahalo na Katibu Mkuu wa chama cha Mapinduzi, chama cha Nyerere?

Ana elimu kiasi gani au kupuyanga tu.

Pia soma: Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!
Kipindi wazee wengine waliuza Ng'ombe ili kuwapeleka watoto zao shule, Wazee wako wao wakafanya kinyume, Wao waliuza Ng'ombe ili kuipeleka shule Ng'ombe nyingine.
 
Hiyo ni defence mechanism, baada ya kuona wamewa disappointe watu licha ya matangazo lukuki waliyo yatoa hapo nyuma sasa Ili pate public sympathy lazima ajibaraguze Kwa kufanya vile by the way wala yale machozi sio cha moyoni.
Kujichoresha tu!
 
yawezekana nchimbi alimpigia simu kumuhakikishia atakuwepo na kuwagalagaza kina mnyika mpaka dakika za mwisho kabisa 😂
 
Hakupaswa kulia.
Lakini mijadala ya kuwashambulia "watu wasiojulikana" lazima italeta taharuki .
Kwa sababu unakuwa hujui " watu wasiojulikana" watafanya nini .
Lakini Nchinbi asingeweza kwenda kule kwa sababu alikuwa na mkutano wa sekretatariet kutayarisha ajenda ya mkutano wa Kamati Kuu ya Chama.
Remember,makamu wa Mwenyekiti wa Chama hajateuliwa bado.
Kwa hiyo there are many things to discuss.
Lakini Tanzania wanaogopa sana violence.
Watanzania wanaweza kuishi Chicago,the murder capital of the world,now for 12 consecutive years it is the murder capital of the world.
In 2023 watu 716 waliuawa Chicago. Philadelphia waliuawa 416.
New York was third with a modest 386 murders in 2023.
Chicago is Democrat -led na ndipo Democrats walipofanyia Convention yao.
There are only three million people in Chicago compared to Dar's 7.9 million.
Chicago karibu Kila mtu ana bunduki au bastola zaidi ya moja hapa Dar Kuna ngapi Mimi na umri wangu sijawahi kushika bunduki
 
Back
Top Bottom