Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Unaeleza uchafu gani hapa!Huyu Edwin odemba ana mapungufu upstairs mwanaume gani unalia hadharani hafu inaonekana alitaka kuwazoea zoea Sana viongozi hana elimu wala uwezo wa kumhoji hata mwenyekiti wa mtaa wa CCM Anawezaje akaongoza mdahalo na katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi chama cha Nyerere ana elimu kiasi gani au kupuyanga tu
Wakati mama yako mzazi yupo darasa la 7 kulikuwa na kitu kikiitwa mchakato majimboni ambacho CCM walikimbiaHakupaswa kulia.
Lakini mijadala ya kuwashambulia "watu wasiojulikana" lazima italeta taharuki .
Kwa sababu unakuwa hujui " watu wasiojulikana" watafanya nini .
Lakini Nchinbi asingeweza kwenda kule kwa sababu alikuwa na mkutano wa sekretatariet kutayarisha ajenda ya mkutano wa Kamati Kuu ya Chama.
Remember,makamu wa Mwenyekiti wa Chama hajateuliwa bado.
Kwa hiyo there are many things to discuss.
ni mshirikina na wakala wa uchawi yule,Huyu Edwin odemba ana mapungufu upstairs mwanaume gani unalia hadharani hafu inaonekana alitaka kuwazoea zoea Sana viongozi hana elimu wala uwezo wa kumhoji hata mwenyekiti wa mtaa wa CCM Anawezaje akaongoza mdahalo na katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi chama cha Nyerere ana elimu kiasi gani au kupuyanga tu
Kwa hakika inafikirisha. Kwanza kakosea sana kuruhusu Washiriki kumtuhumu kwa Nchimbi amekimbia.mdahalo.ni mshirikina na wakala wa uchawi yule,
analia kwasabb alitumwa kumtega na kumfanyia uchawi moja kati ya makatibu wakuu wa chama muhimu sana humu nchini kwa ahadi ya kupewa pesa mingi sana,
sasa Mungu akaingilia kati na kumuumbua hadharani, mtego umekwama kunasa na pesa mingi amekosa dah, ikamlazimu kuangua kilio cha nguvu hadharani tena kwa uchungu mkubwa π
Nikikumbuka kitu kikiitwa mchakato majimboni jinsi walivyokaaibika CCM mpaka wakajitoa sina hamuHajui kama mfumo wa ccm, huwa ni wa kiutendaji zaidi na hautegemei issue za malumbano ya kimidahalo, ccm mean work!, aiulize ccm, wapi hakuna shule, wapi hapana umeme, kwanini barabara pale haujafika n. k.
Rangi cha hicho chama cha majizi unachosema ni chama cha Nyerere ni kijani na njano. Kama ni chama chake kweli waoneshe wasomaji walau picha moja tu mwalimu akiwa amevaa shati la kijani au njano.Huyu Edwin odemba ana mapungufu upstairs mwanaume gani unalia hadharani hafu inaonekana alitaka kuwazoea zoea Sana viongozi hana elimu wala uwezo wa kumhoji hata mwenyekiti wa mtaa wa CCM Anawezaje akaongoza mdahalo na katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi chama cha Nyerere ana elimu kiasi gani au kupuyanga tu
Hajalia, ametoa tu machoziHuyu Edwin odemba ana mapungufu upstairs mwanaume gani unalia hadharani
Yaelekea huo mkutano umetengenezwa kukwamisha mdahaloLakini Nchinbi asingeweza kwenda kule kwa sababu alikuwa na mkutano wa sekretatariet kutayarisha ajenda ya mkutano wa Kamati Kuu ya Chama.
Na wajaluo ni wachawi kweli kweli, Odemba ni mjaluo piani mshirikina na wakala wa uchawi yule,
analia kwasabb alitumwa kumtega na kumfanyia uchawi moja kati ya makatibu wakuu wa chama muhimu sana humu nchini kwa ahadi ya kupewa pesa mingi sana,
sasa Mungu akaingilia kati na kumuumbua hadharani, mtego umekwama kunasa na pesa mingi amekosa dah, ikamlazimu kuangua kilio cha nguvu hadharani tena kwa uchungu mkubwa π
kapigwa changa la macho hajawahi kuona πNa wajaluo ni wachawi kweli kweli, Odemba ni mjaluo pia
kuna pesa chafu zimemwagwa kutoka kwa yale yanayoigombanisha Dunia manyonya damu za Dunia sasa huyu aliahidiwa kupewa mlungula mrefu na aliandaliwa maswali kilichomuliza ni kukosa zile hela hafu njemba yenyewe haina elimu yoyote Inakurupukaga tuni mshirikina na wakala wa uchawi yule,
analia kwasabb alitumwa kumtega na kumfanyia uchawi moja kati ya makatibu wakuu wa chama muhimu sana humu nchini kwa ahadi ya kupewa pesa mingi sana,
sasa Mungu akaingilia kati na kumuumbua hadharani, mtego umekwama kunasa na pesa mingi amekosa dah, ikamlazimu kuangua kilio cha nguvu hadharani tena kwa uchungu mkubwa π
Hivyo ulivyotaja hata makuburu wa africa kusini walifanya, lakini bado tuliwasupport akina Mandela kuwaondoa madarakani. Maendeleo ni kodi zetu sio hisani ya hao watekaji.Hajui kama mfumo wa ccm, huwa ni wa kiutendaji zaidi na hautegemei issue za malumbano ya kimidahalo, ccm mean work!, aiulize ccm, wapi hakuna shule, wapi hapana umeme, kwanini barabara pale haujafika n. k.
Within 40 minutes ameanzisha nyuzi saba.Saba!Huyu kachanganyikiwa,si bure.Mtu kama huyo ameonesha kuitaharukia nafsi yake namna hii na hatuonani.Vipi kama akijua unapoishi?Si atatafuta majahili wakuteke!?π€Unaeleza uchafu gani hapa!
Mara nyingi kichaa hukupanda kichwani, sijui shauri ya nini? Huko CCM mmelogwa au kuna kitu gani; maanake wote mnaojaza takataka humu ni kama vichwani mwenu 'screw' zimelegea.
Sasa nime kwambia, usije na moto, kwa sababu takataka kama nyie huwa sina simile nazo.
Hovyo Kabisa.
Et analizwa na mambo yanayosemwa na viongozi wa chamaHuyu Edwin odemba ana mapungufu upstairs mwanaume gani unalia hadharani hafu inaonekana alitaka kuwazoea zoea Sana viongozi hana elimu wala uwezo wa kumhoji hata mwenyekiti wa mtaa wa CCM Anawezaje akaongoza mdahalo na katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi chama cha Nyerere ana elimu kiasi gani au kupuyanga tu