Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Weka ushahidi tuuone.Acha fabrications za kiwaki.Uongouongo umekujaa mwili mzima.kuna pesa chafu zimemwagwa kutoka kwa yale yanayoigombanisha Dunia manyonya damu za Dunia sasa huyu aliahidiwa kupewa mlungula mrefu na aliandaliwa maswali kilichomuliza ni kukosa zile hela hafu njemba yenyewe haina elimu yoyote Inakurupukaga tu
Kwa hiyo CCM wakaogopa maswali kutoka kwa Bon Jacob na Martin Masese?Ameshakula hela za chadema kwa hiyo anawaza atazirudishaje, imagine maswali ya kuuliza anapewa na Boniphace Jackob na Martin Maranja Masese, pamoja na Mnyika. Na wanafanya vikao vya siri kabisa. Atafutwe mwandishi mwingine, huyu Odemba ni kada nguli wa Chadema tangu anasoma chuo kikuu
Ameshakula hela za chadema kwa hiyo anawaza atazirudishaje, imagine maswali ya kuuliza anapewa na Boniphace Jackob na Martin Maranja Masese, pamoja na Mnyika. Na wanafanya vikao vya siri kabisa. Atafutwe mwandishi mwingine, huyu Odemba ni kada nguli wa Chadema tangu anasoma chuo kikuu
Daaaah itakuwa mnamuonea jamaa, Julie tu hapa karbala Lisu maswali baadhi ya comment mtandaoni kutoka kwa vijana wa wa chadema wakaanza kumuandama kuwa hahui kuhoji. Binafsi namuona ni muhandisha wa kisasa, anahoji maswali yanayomaliza kiu ya watazamaji na wasikilizaji kitu ambacho waandishi wetu wengi hawafanyi.Ameshakula hela za chadema kwa hiyo anawaza atazirudishaje, imagine maswali ya kuuliza anapewa na Boniphace Jackob na Martin Maranja Masese, pamoja na Mnyika. Na wanafanya vikao vya siri kabisa. Atafutwe mwandishi mwingine, huyu Odemba ni kada nguli wa Chadema tangu anasoma chuo kikuu
Eti ccm ni chama chenye sera wakati huo huo katibu mkuu wenu anayejiita dokta anakimbia mdahalo Tena wa star tv ambayo ni chanel ya ccm kama sio ujinga ni Nini. Ccm haina uwezo wowote ukiondoa kuteka na kuuwa watu pale Karakana chang'ombe.Ameshakula hela za chadema kwa hiyo anawaza atazirudishaje, imagine maswali ya kuuliza anapewa na Boniphace Jackob na Martin Maranja Masese, pamoja na Mnyika. Na wanafanya vikao vya siri kabisa. Atafutwe mwandishi mwingine, huyu Odemba ni kada nguli wa Chadema tangu anasoma chuo kikuu
Sasa haya si ndio angeenda kuyajibia kwenye mdahalo paleHajui kama mfumo wa ccm, huwa ni wa kiutendaji zaidi na hautegemei issue za malumbano ya kimidahalo, ccm mean work!, aiulize ccm, wapi hakuna shule, wapi hapana umeme, kwanini barabara pale haujafika n. k.
Msijenge dharau kwa watanzaa ambayo ndiyo wanawaweka madarakani ina maana chama cheni kinawakilishwa na wasomi tu ktk nchi hii kwa hiyo inamaana watu ambao wana elimu ndogo hawapaswi kuwasogelea viongozi wenu na kutoa hoja zao, hilo ni tusi kubwa sana kwa Watanzania wala usithubutu tena kutoa mbele za watu.Huyu Edwin odemba ana mapungufu upstairs, mwanaume gani unalia hadharani?
Halafu inaonekana alitaka kuwazoea zoea sana viongozi, hana elimu wala uwezo wa kumhoji hata mwenyekiti wa mtaa wa CCM anawezaje akaongoza mdahalo na Katibu Mkuu wa chama cha Mapinduzi, chama cha Nyerere?
Ana elimu kiasi gani au kupuyanga tu.
Pia soma: Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!
Cc Waziri wa KaskaziniHuyu Edwin odemba ana mapungufu upstairs, mwanaume gani unalia hadharani?
Halafu inaonekana alitaka kuwazoea zoea sana viongozi, hana elimu wala uwezo wa kumhoji hata mwenyekiti wa mtaa wa CCM anawezaje akaongoza mdahalo na Katibu Mkuu wa chama cha Mapinduzi, chama cha Nyerere?
Ana elimu kiasi gani au kupuyanga tu.
Pia soma: Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!
Maamaee kiingerezaSi Nchimbi wala Makala hawakupaswa kua chamani it’s too elders to be there aisee
Muite Yahya Sinwar naye ahojiwe.Sasa haya si ndio angeenda kuyajibia kwenye mdahalo pale