Edwin Odemba kilichomliza ni nini sasa kama sio ujinga na utoto? Mwanaume gani unalia hadharani?

kuna pesa chafu zimemwagwa kutoka kwa yale yanayoigombanisha Dunia manyonya damu za Dunia sasa huyu aliahidiwa kupewa mlungula mrefu na aliandaliwa maswali kilichomuliza ni kukosa zile hela hafu njemba yenyewe haina elimu yoyote Inakurupukaga tu
Weka ushahidi tuuone.Acha fabrications za kiwaki.Uongouongo umekujaa mwili mzima.
 
Kwa hiyo CCM wakaogopa maswali kutoka kwa Bon Jacob na Martin Masese?
 

Sasa CCM wamekimbia hayo maswali ya Boni na Martin?
 
Mnaongelea nini wajameni siyo wote tuna tivii...!
 
Star tv hawakumuandaa kijana wao kisaikolojia ndo matokeo yake hayo. Ilipaswa aambiwe mapema awe na kifua kigumu pale nchimbi akichimba
 
Huyu odemba angepelekewa moto kama wa Mkuu wa Wilaya pale Busega angepiga yoweee mwanaumee unaliaje
 
Daaaah itakuwa mnamuonea jamaa, Julie tu hapa karbala Lisu maswali baadhi ya comment mtandaoni kutoka kwa vijana wa wa chadema wakaanza kumuandama kuwa hahui kuhoji. Binafsi namuona ni muhandisha wa kisasa, anahoji maswali yanayomaliza kiu ya watazamaji na wasikilizaji kitu ambacho waandishi wetu wengi hawafanyi.
 
Mwanaume halisi analia popote
We aliekuambia mwanaume inabidi ulie ukiwa umejificha ni nani
Sisi wa mara ukitukera ukaona tumelia chora la sivyo
 
Eti ccm ni chama chenye sera wakati huo huo katibu mkuu wenu anayejiita dokta anakimbia mdahalo Tena wa star tv ambayo ni chanel ya ccm kama sio ujinga ni Nini. Ccm haina uwezo wowote ukiondoa kuteka na kuuwa watu pale Karakana chang'ombe.
 
Hajui kama mfumo wa ccm, huwa ni wa kiutendaji zaidi na hautegemei issue za malumbano ya kimidahalo, ccm mean work!, aiulize ccm, wapi hakuna shule, wapi hapana umeme, kwanini barabara pale haujafika n. k.
Sasa haya si ndio angeenda kuyajibia kwenye mdahalo pale
 
Yeye apambane na makatibu wenezi kata, vijiji n hata Wilaya huko na akina Yeriko na harakati zao.
Ukiweka ushabiki wa kisiasa pembeni ki protocol bado hana hadhi ya kuwahoji akina Nchimbi. Hao ni viongozi wakubwa wa kitaifa
 
Atakuwa amepata hasara kutokana na maandalizi, ni uungwana waliomtosa wamlipe gharama za maandalizi ya ule midahalo.
 
Msijenge dharau kwa watanzaa ambayo ndiyo wanawaweka madarakani ina maana chama cheni kinawakilishwa na wasomi tu ktk nchi hii kwa hiyo inamaana watu ambao wana elimu ndogo hawapaswi kuwasogelea viongozi wenu na kutoa hoja zao, hilo ni tusi kubwa sana kwa Watanzania wala usithubutu tena kutoa mbele za watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…