Sawa usijali nimekusikia.Eee Mola nakuomba unisikie .
mungu anayesikiliza maombi ya footbal ni mungu wa fifa tuu na sio wa mbinguniππ€£π ππWape ushindi wale wanaokuabudu kwa dhati ya Moyoni. Na wanyime wale wanafanya ushirikina ili washindi. Eee Mola iwapo kuna mwana Simba yeyote atakayeshirikiana na waganga na washirikina basi iadhibu timu yao ifungwe goli 5.
Pia nakuomba usiwape ushindi Simba kwa kuwa wamejaa dhihaka na majivuno. Wamejaa viburi na ghilbu.
Eee Mola nakuomba unisikie .
Na tuseme Aaaamina
Simba 4 - 1 Al Ahly (Agg 5-4)Wape ushindi wale wanaokuabudu kwa dhati ya Moyoni. Na wanyime wale wanafanya ushirikina ili washindi. Eee Mola iwapo kuna mwana Simba yeyote atakayeshirikiana na waganga na washirikina basi iadhibu timu yao ifungwe goli 5.
Pia nakuomba usiwape ushindi Simba kwa kuwa wamejaa dhihaka na majivuno. Wamejaa viburi na ghilbu.
Eee Mola nakuomba unisikie .
Na tuseme Aaaamina
Simba 0 - Al Ahly 6 (Agg 0 6)Simba 4 - 1 Al Ahly (Agg 5-4)
Yanga 2 - 1 Mamelod (Agg 2 - 5)
Chukua hii...
Au sioAl Ahly tumeshamaliza kazi, tunasubiri siku ya mechi tu
mapema sanaAu sio
Msije sema tumepangwa na vi bondemapema sana
sawaMsije sema tumepangwa na vi bonde
ππππSimba 4 - 1 Al Ahly (Agg 5-4)
Yanga 2 - 1 Mamelod (Agg 2 - 5)
Chukua hii...