Eee mungu mpe maisha marefu mume wangu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!

asante nivea kwa thread positive!mi-thread mingi ya humu maumivu tuu!ubarikiwe sana dada!nimependa una moyo wa kutoa bila kujali kama unapewa!hata likes umetoa nyingi kuliko ulizopewa!keep it up
 
Ni vizuri kuombeana ili kupata nguvu ya ziada toka kwa Mungu ya kumshinda shetani na mabaya yake yote
 

Wale mashekhe wetu husema hivi "Nakuusiiine kama ninavyoiusia nafsi yangu............." How about that katika duwa yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…