hau olda yu kwani...!?
naona mambo ya BRN
af kumbuka hakuna kiumbe wa thamani kama wewe, na daima likukwepalo lina heri mumieee.........
wahenga walisema herim kenda nenda kuliko kumi nenda rudi kama katokomea tokomoo mwache ni heri kwako............
usijali sana wako yupo tena atakaye kijaza kinywa chako kicheko, yule atakaye tambua kwamba u nyama kutoka katika nyama zake na u mfupa kutoka mifupa yake.
mie nakumalizia kwa kusema akunyimae kunde akupunguzia mashuzi, mita ya luku achana nayo.........anza upya maisha yapo bado.
jamanii pole mamiii..jiuguze moyo utulie,uendelee,utampata mwingine
pole darl
everything happens for a reason
mapenzi hayanaga baunsa hasa ukipenda kiukweli
ila worry out,hili nalo litapita
Eee mungu nisaidie niweze kumsahau!! Sikutegemea kama ingekua hivi nilikupenda zaidi ya sana uliniahidi kunipenda upendo ambao sijawai pendwa!!!! Tulipanga mambo mengi...... kweli malipo ya kukupenda ndo kunitenda huvi na kuniliza hivi eeeh mungu nisaidie niweze kukusahau.
Wa kukuumiza tena....hahahahaaa!
she cant miss all the fun and be single all her life...wapo wanaume loyal mi naamini
And what's that reason wangu??
Nafikiri hili neno worry out siyo Sawa ni worry not,
kwanini wanaume mnakuwa hivi?!..au mkishajua mmependwa basi aah!