Eee mungu nisaidie

Eee mungu nisaidie

jamanii pole mamiii..jiuguze moyo utulie,uendelee,utampata mwingine
 
af kumbuka hakuna kiumbe wa thamani kama wewe, na daima likukwepalo lina heri mumieee.........
wahenga walisema herim kenda nenda kuliko kumi nenda rudi kama katokomea tokomoo mwache ni heri kwako............

usijali sana wako yupo tena atakaye kijaza kinywa chako kicheko, yule atakaye tambua kwamba u nyama kutoka katika nyama zake na u mfupa kutoka mifupa yake.

mie nakumalizia kwa kusema akunyimae kunde akupunguzia mashuzi, mita ya luku achana nayo.........anza upya maisha yapo bado.

shukrani mamito, kuna watu wanahitaji kusikia maneno kama haya! barikiwa mpaka ushangae!
 
Kila anaekuja hapa tulipanga mambo mengi! Jamani sio kila uhusiano utafika ndoa
 
pole darl
everything happens for a reason

mapenzi hayanaga baunsa hasa ukipenda kiukweli

ila worry out,hili nalo litapita

Nafikiri hili neno worry out siyo Sawa ni worry not,
 
Eee mungu nisaidie niweze kumsahau!! Sikutegemea kama ingekua hivi nilikupenda zaidi ya sana uliniahidi kunipenda upendo ambao sijawai pendwa!!!! Tulipanga mambo mengi...... kweli malipo ya kukupenda ndo kunitenda huvi na kuniliza hivi eeeh mungu nisaidie niweze kukusahau.

Aisee wimbo mzuri huu .Kweli dada unakipaji kizuri cha kutunga wimbo .Mbona hujaweka chorous
 
Upendo ambao haujawahi kupendwa ni ule unaopendwa na Mungu, ukifuatia na unaojipenda mwenyewe. Pick up your pieces, sasa una uzoefu na akili zaidi.
 
Kuendekeza tu. Jipende kwanza, hao wengine wape nafasi ya pili. Afu kwani huyu ndo wa kwanza?
 
kwanini wanaume mnakuwa hivi?!..au mkishajua mmependwa basi aah!
 
Usiumie sana ni sehemu ya maisha muhimu angalia mbele kuna kitu mungu alikuandalia kwa ajili yako so kama hcho kimepita mshukuru mungu kwa kukuepushia balaa mapema wako yupo njian kuja!
 
Niruhusu nikupende zaidi yake hakika utamsahau tu
 
Back
Top Bottom