eee ndio......

eee ndio......

Kirode

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2011
Posts
3,566
Reaction score
84
bandugu nilipata ban ya maisha kws ajili ya ritz nimerudi kivingine kwa ari mpya nguvu mpya na kasi mpya.... ole wake ritz .....
 
Ritz siku hizi amepoa huwezi amini, kuna wengine utawaona, nakushauli uwe tu muungwana manake huwa hawa watu hawaishi humu ndani.
 
bandugu nilipata ban ya maisha kws ajili ya ritz nimerudi kivingine kwa ari mpya nguvu mpya na kasi mpya.... ole wake ritz .....
ID yako ya zamani ni ipi? Karibu sana, mbona Ritz mtu poa tu.
 
Last edited by a moderator:
bandugu nilipata ban ya maisha kws ajili ya ritz nimerudi kivingine kwa ari mpya nguvu mpya na kasi mpya.... ole wake ritz .....

Karibu tena. Ole wako wewe. Ritz humuwezi, angalia sana utakula ban nyengine.
 
Last edited by a moderator:
Karibu tena. Ole wako wewe. Ritz humuwezi, angalia sana utakula ban nyengine.

simpendi kabisa nahisi sio mtu ni group liko lumumba wanatumia id moja kama tuntemeke.....
 
Last edited by a moderator:
simpendi kabisa nahisi sio mtu ni group liko lumumba wanatumia id moja kama tuntemeke.....

Mkuu Ritz hebu kuja kipande hii. Eti wewe ni Ghost?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom