Eeeeh Alaaa kumbe hata satelite wanatumia moja?

Ila kuna vitu vingine vya kipuuzi kweli,afadhali mwenzangu umeukiza hilo,toka lini clouds akawa na satellite!?
Dstv mwenyewe hana atumia ya watu eultesat.
Wanafikiri kurusha satellite ni kama unarusha kishada angani..
 
Watanzania tumejawa na wivu,majungu,ufisadi,roho mbaya .
Yaani hizo ndo sifa zetu.
Ndo maana wengi tunaendelea kuwa malofa wa kutupwa,badala ya kufikiri ufanye nini ili utoboe kimaisha watu tumekalia kuwafuatilia maisha ya wengine tu na kuwaonea wivu na kubisha ya kwamba shughuli au biashara wanazofanya siyo za kwao.
Poor tanzanias.
Hongera sana sana mondi
 
Whatever,,,,,,,,, what i care about ni kwamba mond anapambana kubadilisha taswira ya muziki bongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…