Eeeh bwana eeeh Kikosi bora Euro2020 Lukaku ndani Ronaldo out

Eeeh bwana eeeh Kikosi bora Euro2020 Lukaku ndani Ronaldo out

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Wakuu salaam,

Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni. Euro wametoa kikosi bora cha Mashindano lakini Goal Machine Mr CR7 hajatokea ilihali yeye ndiye katunukiwa ufungaji bora.

Inawezekanaje hii.

Hii ni hujumaaa.

Euro irudiwe irudiwe irudiwe

Tazama kikosi bora cha mashindano katika picha hii chini.
1626178982337.png



Hebu na wewe tia neno mdau.
 
Wakuu salaam,

Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni. Euro wametoa kikosi bora cha Mashindano lakini Goal Machine Mr CR7 hajatokea ilihali yeye ndiye katunukiwa ufungaji bora.

Inawezekanaje hii.

Hii ni hujumaaa.

Euro irudiwe irudiwe irudiwe

Tazama kikosi bora cha mashindano katika picha hii chini.


View attachment 1851558


Hebu na wewe tia neno mdau.
Nnadhani waliangalia zile timu ambazo zilivuka mzunguko wa pili,maana hata Patrik Schick hayumo sababu hio.
 
Wakuu salaam,

Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni. Euro wametoa kikosi bora cha Mashindano lakini Goal Machine Mr CR7 hajatokea ilihali yeye ndiye katunukiwa ufungaji bora.

Inawezekanaje hii.

Hii ni hujumaaa.

Euro irudiwe irudiwe irudiwe

Tazama kikosi bora cha mashindano katika picha hii chini.


View attachment 1851558


Hebu na wewe tia neno mdau.
Chanzo changu ambacho ni SofaScore kinaonesha hivi.

Ngoja niendelee kuangalia vyanzo vingine nione yaliyomo
IMG_20210713_160113.JPG
 
Chanzo changu ambacho ni SofaScore kinaonesha hivi.

Ngoja niendelee kuangalia vyanzo vingine nione yaliyomoView attachment 1851583
Hiki ndio chanzo ninachokiamini zaidi, case closed

The official #EURO2020 Team of the Tournament has been announced [emoji294]

5x [emoji634]
3x [emoji1022]󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
1x [emoji1087]
1x [emoji633]
1x [emoji1045]

What do you think? [emoji848]
IMG_20210713_160711_814.jpg
 
Hawa UEFA ni wehu

Chielini kwa Maguire
Schick kwa Lukaku
Insigne kwa Starling

na huyu Walker bora wanegewekwa yoyote tu, mana jamaa hana alilofanya
 
Schick ni Bora kuliko lukaku na Ronaldo
Ronaldo ame Prove kwa zaidi ya miaka kumi uwezo wake wa kufumania nyavu kwa kufunga magoli 25+ kwa kila msimu
Lukaku ame Prove na kwa kusaidia Club yake kwa magoli yake zaidi ya 25 msimu uliopita kwenye timu zao za taifa wamekuwa na consistency ya kufunga magoli kila uchwao ndio maana vikosi vyao vya timu za taifa zimekua haziwaach hata mara moja,SO WHAT ABOUT SCHICK NDUGU YANGU? hebu uje unitaarifu habar zake nzuri zaid tofauti na magoli matano ya Euro maana tokea RB Leipzig,Roma na sasa Leverkusen sijaona kiwango hata cha kumzidi ANDRE SILVA acha cha kumzidi Ronaldo na Lukaku,KARIBU KWA UFAFANUZI
 
Back
Top Bottom