Eeh kumepooza humu ndani ..Kulikoni?

Eeh kumepooza humu ndani ..Kulikoni?

Muulize binamu Kaizer yeye ndo alidelegate hilo suala nikurudishie uongozi

Hahaha! Haya bana! Mmenifanyia ufisadi siyo? Btw nambie haka kabaridi, na we mwenyewe uko singo, si unataabika sana?
 
Hahaha! Haya bana! Mmenifanyia ufisadi siyo? Btw nambie haka kabaridi, na we mwenyewe uko singo, si unataabika sana?

Si sana kawaida tu nimejivalia sweater nifanyeje sasa????naona JF watu wote wana wenza.........lol!!!
 
Si sana kawaida tu nimejivalia sweater nifanyeje sasa????naona JF watu wote wana wenza.........lol!!!
HEHEHE!wewe mtundu sana

fidel yupo loose
 
Si sana kawaida tu nimejivalia sweater nifanyeje sasa????naona JF watu wote wana wenza.........lol!!!
Maskini dada yangu, nakuonea huruma sana!
 
Mi bado nimebanwa na mtoto wa uswazi ndo maana mnaona kimyaaaaaa kingi maana huku jamani yaani raha tupu kama nipo Chuda vile.
 
HEHEHE!wewe mtundu sana

fidel yupo loose

Fidel kabanwa na mtoto wa uswaz si unamuona mwenyewe hapo juu alivyosema???
icon10.gif
 
Si sana kawaida tu nimejivalia sweater nifanyeje sasa????naona JF watu wote wana wenza.........lol!!!


Js pole ..sasa tukusaidie vipi??? mi ntakununulia hot water bottle to keep warm..😛
 
Usinionee huruma kaka Xspin fanya ndingoz basi eeeee!!!!!
icon12.gif

Ndo niko kwenye mkakati hivyo, lakini nawe usinilet down! Hebu niPM contacts zako fasta.
 
Js pole ..sasa tukusaidie vipi??? mi ntakununulia hot water bottle to keep warm..😛

OOh Shishi nimekupa senksi kule chini yani you are so sweet!!!!!that will surely do.
 
Ndo niko kwenye mkakati hivyo, lakini nawe usinilet down! Hebu niPM contacts zako fasta.

PM inakuja iko njiani lakini kaka Xspin mmmh mbona sikuamini amini vile??????
 
Back
Top Bottom