Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,361
- 2,378
Ili jambo lolote lifanikiwe baina ya pande mbili ni lazima liwe na ufahamu waq kutosha kwa pande zote mbili zinazohusika,Electronic Fiscal device(EFD) ni mradi wenye nia nia nzuri lakini haukukuwa na maandalizi mazuri hasa kumshirikisha mdau wa pili ambaye ni mlipa kodi.hakukuwa na elimu ya ufahamu na utumiaji wa kifaa hicho bali ni mradi ulioingia kiujumla bila kuangalia mapungufu hasa kwa mlipa kodi kwa baadhi ya maaeneo kama yafuatayo
1.Vifaa vile vinatumia umeme,havina option ya battery.hivyo kunapokosekana umeme ni tatizo na pia maeneo mengine hakuna umeme kabisa lakini biashara zinaendelea
2.Sehemu nyingi za biashara zinafikiua kilele siku za wikiendi hususani sehemu za starehe,sasa inapotokea malfunctioning kipindi hicho inakuwa vigumu kupata backup service kutoka kwa dealers ambao hawako available 24/7 na hivyo kusababisha usumbufu kwa wadau na hata wao TRA wakihitaji ukaguzi
3.Risiti za EFD hazionyeshi ni item gani imeuzwa bali huonyesha value tu...TATIZO!
4.Upatikanaji wa karatasi zake pia bado haujawa mzuri
5.Kuna watu wanasajili kampun na kusajili VRN then wananaunua machine wanaproduce risit kwa makampuni mengine yanafanya VAT input/Output returns hewa na hivyo serikali kupoteza mapato mengi
6.Mauzo mengine yanafanyika kwa credit terms hivyo hayawezi kuambatana na E-receipt kwa kuwa muuzaji hajapokea pesa ya mauzo lakini sheria inakinzana na hilo kwa kutaka every delivery iendane na e-receipt jambo ambalo ni gumu kwa wafanyabiashara wengi kwani sometimes inabidi delivery ikamilike ndio upate malipo lakini maafisa wa TRA hutaka ukitoa service iambatane na e-receipt wakati wewe hujapokea malipo..kwa maana ukitoa e-receipt unaconfirm kuwa umeshapokea malipo na rekodi zinawafikia TRA wakati si kweli
Nadhani kadhia ni nyingi lakini kama wadau mmeshaziexperience sio vibaya tukizishare hapa kwa faida zetu na hata maboresho kwa idara hii ya Kaizar
Matokeo yake kumekuwa na mkanganyiko na umejengeka uadui kati ya wafanyabiashara na idara hii kwani wao badala ya kuelimisha hukimbilia offence penalties ambazo mara nyingi huwa ni kubwa kuliko hata thamani ya biashara...nijuavyo mimi ili ng'ombe uweze kumkamua maziwa vizuri ni lazima umlishe majani mazuri,umpe maji na pia umpatie tiba kumuepusha na kupe nk
Nawakilisha!
1.Vifaa vile vinatumia umeme,havina option ya battery.hivyo kunapokosekana umeme ni tatizo na pia maeneo mengine hakuna umeme kabisa lakini biashara zinaendelea
2.Sehemu nyingi za biashara zinafikiua kilele siku za wikiendi hususani sehemu za starehe,sasa inapotokea malfunctioning kipindi hicho inakuwa vigumu kupata backup service kutoka kwa dealers ambao hawako available 24/7 na hivyo kusababisha usumbufu kwa wadau na hata wao TRA wakihitaji ukaguzi
3.Risiti za EFD hazionyeshi ni item gani imeuzwa bali huonyesha value tu...TATIZO!
4.Upatikanaji wa karatasi zake pia bado haujawa mzuri
5.Kuna watu wanasajili kampun na kusajili VRN then wananaunua machine wanaproduce risit kwa makampuni mengine yanafanya VAT input/Output returns hewa na hivyo serikali kupoteza mapato mengi
6.Mauzo mengine yanafanyika kwa credit terms hivyo hayawezi kuambatana na E-receipt kwa kuwa muuzaji hajapokea pesa ya mauzo lakini sheria inakinzana na hilo kwa kutaka every delivery iendane na e-receipt jambo ambalo ni gumu kwa wafanyabiashara wengi kwani sometimes inabidi delivery ikamilike ndio upate malipo lakini maafisa wa TRA hutaka ukitoa service iambatane na e-receipt wakati wewe hujapokea malipo..kwa maana ukitoa e-receipt unaconfirm kuwa umeshapokea malipo na rekodi zinawafikia TRA wakati si kweli
Nadhani kadhia ni nyingi lakini kama wadau mmeshaziexperience sio vibaya tukizishare hapa kwa faida zetu na hata maboresho kwa idara hii ya Kaizar
Matokeo yake kumekuwa na mkanganyiko na umejengeka uadui kati ya wafanyabiashara na idara hii kwani wao badala ya kuelimisha hukimbilia offence penalties ambazo mara nyingi huwa ni kubwa kuliko hata thamani ya biashara...nijuavyo mimi ili ng'ombe uweze kumkamua maziwa vizuri ni lazima umlishe majani mazuri,umpe maji na pia umpatie tiba kumuepusha na kupe nk
Nawakilisha!