EFM Radio hii ni chuki dhidi ya Yanga au ndio uchambuzi wenyewe?

EFM Radio hii ni chuki dhidi ya Yanga au ndio uchambuzi wenyewe?

mhuri25

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2016
Posts
2,780
Reaction score
3,733
Hello wanaJF, Habari za mihangaiko siku kutwa wakuu wangu humu ndani!?

Nimekuwa nikifatilia mahojiano na baadhi ya chambuzi za wachambuzi karibia wote wa pale EFM hawa jamaa kuanzia Geoff Leah, Jemedari Said na yule mzee wa Jambia Oruma Willson hawa jamaa kwa namna moja au nyingine ukiwatizama naona kama huwa wanakuwa na kachuki kawaziwazi au kandani kwa ndani na Yanga.

Hawana jema kabisa dhidi ya hii Kilabu sijajua walikosewa wapi au ni wanachama wa upande wapili ni nadra sana kusikia aina ya uchambuzi wao tena wa wazi kabisa ukiwa na kama chuki kwa baadhi ya Wachambuzi wa vituo vingune kama Clouds na wasafi ukimsikiliza au ukimsoma Shaffih Dauda, au Farhan Kihamu na kule usafini kwa Edo na Ambangile hawa wanajitahidi kuficha hata mapenzi yao wengi wanazungumzia uhalisia wa Football ilivyo mbinu na matokeo na wala huoni kejele majigambo wala chuki za waziwazi.

Hili andiko nimeweka baada ya kumsoma leo Jemedari Said na kuunganisha mfululizo wa maandiko, uchambuzi na baadhi ya mahojiano yao katika Media.
 
Hao ndio WACHAMBUZI WA MICHONGO a.k.a Madunduka. Jipara kama jiwe la kiama na miwani kama kobe. Shwaiin
 
JEMEDARI ni Complete package.

Mwandishi.
KOCHA wa mpira.
MCHEZA MPIRA.
Amekaa kwenye TFF.
Amekaa kwenye VILABU Manager.


HAKUNA MCHAMBUZI ANAEFIKIA LEVEL YA JEMEDARI KWENYE SOKA LA TANZANIA.

Ila kwasababu wengi wetu ni mbumbumbua

.JEMEDARI, AMBANGILE NI WACHAMBUZI BORA KABIS
 
JEMEDARI ni Complete package.

Mwandishi.
KOCHA wa mpira.
MCHEZA MPIRA.
Amekaa kwenye TFF.
Amekaa kwenye VILABU Manager.


HAKUNA MCHAMBUZI ANAEFIKIA LEVEL YA JEMEDARI KWENYE SOKA LA TANZANIA.

Ila kwasababu wengi wetu ni mbumbumbua

.JEMEDARI, AMBANGILE NI WACHAMBUZI BORA KABIS
Duuu
 
hlaf hil swala la kulalMikia wachambuzi ni yanga tu

siku zote mashabiki wmekuwa ni watu wamstar wa mbele

kutaka timu zao ziongelewe kw mazuri tu mtu akikosoa bas ashakuwa adui jaman tuzoee na kukubal hzi timu

kukosolewa ndy tutazijenga kwanin kila mchambuz aisemee vibaya yanga tuh...!!

tupungzege lawama saa zingne NAWASILISHA
 
JEMEDARI ni Complete package.

Mwandishi.
KOCHA wa mpira.
MCHEZA MPIRA.
Amekaa kwenye TFF.
Amekaa kwenye VILABU Manager.


HAKUNA MCHAMBUZI ANAEFIKIA LEVEL YA JEMEDARI KWENYE SOKA LA TANZANIA.

Ila kwasababu wengi wetu ni mbumbumbua

.JEMEDARI, AMBANGILE NI WACHAMBUZI BORA KABIS

Acha kumfananisha Ambangile na vitu vya kijinga
 
Yanga ina nini cha maana hadi ionewe chuki.Tatizo mnapenda kusifiwa tu kukosolewa hamtaki.sasa wachambuzi wote na vyombo vyote vya habari vikiwa vinawasifia mtajuaje mapungufu yenu.Tuache wanaokosoa wakosoe na wanaosifia wasifie.
 
Mmepagawa walai...mbona mm nikiwa nawasikiliza ni wanaiponda tuu Simba na kuisifia Yang'a... au ni kwa sbb masikio yenu kwa sasa hayataki kusikia kukosolewa... hata page ya Oruma imejaa kusifia Yanga..labfa ishu zake na Haji ndo naziona ziko personal
 
Mnapenda kusikia vinavyowapendeza tu[emoji41]

Jemedari akamatie hapohapo,
Hawa wamegoma kuwa fuata upepo,chuki wanaileta utopolo kwa kugoma kuambiwa ukweli,

Simba wanapokosea wanaambiwa ukweli ila hawana ukikekike
 
Mmepagawa walai...mbona mm nikiwa nawasikiliza ni wanaiponda tuu Simba na kuisifia Yang'a... au ni kwa sbb masikio yenu kwa sasa hayataki kusikia kukosolewa... hata page ya Oruma imejaa kusifia Yanga..labfa ishu zake na Haji ndo naziona ziko personal
Haswaaaaah Oruma ana bifu binafsi na Takadini, ila sio Yanga, tatizo utopoloo wanapenda kununua ugomvi wa watu binafsi uwe wa club
 
Back
Top Bottom