EFM redio huwa wanafanya vipindi vya habari au ni comedy tu?

EFM redio huwa wanafanya vipindi vya habari au ni comedy tu?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kwa muda mrefu sasa kila ninapokutana na video clip ya EFM radio ni ya watangazaji wake wakiwa wanafanya comedy. Hii redio wamehamia rasmi kufanya comedy? Kama hawajahimia mazima kwenye comedy Majizo afikirie kuigeuza EFM jukwaa la Comedy huenda akapata faida zaidi kuliko sasa.
 
Hawajapata tuzo Yao Juzi ya TCA ya Ommy dimpoz
 
Kwa muda mrefu sasa kila ninapokutana na video clip ya EFM radio ni ya watangazaji wake wakiwa wanafanya comedy. Hii redio wamehamia rasmi kufanya comedy? Kama hawajahimia mazima kwenye comedy Majizo afikirie kuigeuza EFM jukwaa la Comedy huenda akapata faida zaidi kuliko sasa.
EFM ni project iliyofeli, mwanzoni lengo lilikuwa ni kuwa brand kubwa kuliko clouds fm lakin matokeo yake wamejikuta far behind ya Wasafi na clouds
 
Efm Ni Kitu Gani Sijaelewa Puliz Mleta Mada Au Ni Mtoto Wa Kingendu?
Maana Si Wengine Tunaishi Dar Es Salaam Vijijini.
 
Efm Ni Kitu Gani Sijaelewa Puliz Mleta Mada Au Ni Mtoto Wa Kingendu?
Maana Si Wengine Tunaishi Dar Es Salaam Vijijini.
Ni redio ambayo mtangazaji ni Masanja mkandamizaji, Bwakila na Mkude simba
 
Sijawahi kuona sehemu inalia singeli sana alafu mtu akawa serious.
 
Kwa muda mrefu sasa kila ninapokutana na video clip ya EFM radio ni ya watangazaji wake wakiwa wanafanya comedy. Hii redio wamehamia rasmi kufanya comedy? Kama hawajahimia mazima kwenye comedy Majizo afikirie kuigeuza EFM jukwaa la Comedy huenda akapata faida zaidi kuliko sasa.
Ni kweli
Ni mda wa kufunga studio na kufungua platform ya comedy kama ilivyo cheka tu
 
Ni redio ambayo mtangazaji ni Masanja mkandamizaji, Bwakila na Mkude simba
Nimegugo Nimegundua Kwamba.
Ukishaona Sehemu Panapigwa Singeli Huwa Hamna Cha Maana Utapata Sehemu Hiyo Hawa Na Wenzao Ndo Wametuulia Mziki Wa Dansi Ili Wapige Singeli Na Amapiano Ili Watu Wote Tuwe Watu Wa Hovyo.
Na Ndio Maana Baada Ya Utitiri Wa Fm Radio Kila Kitu Kizuri Kwenye Jamii Kimeanguka Chali.

Bwana Ngara Huyo Mkude Na Bwakila Ni Mtu Mmoja Anacheza Tu Na Sauti.
 
Back
Top Bottom