efm sio wabunifu

jerry joshy

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2015
Posts
402
Reaction score
504
Kwa hapa mi naonaa efm sio wabunifu wameshindwaje nao kuandaa tamasha lao siku ya leo??

Yaan kama wao wangekuwa ni washindani wa biasharaa nao wangeaandaa tamasha lao wamwalike [HASHTAG]#mondi[/HASHTAG] wachukue na wasanii wengine hata wakina casper nyovest au wizkid yaan daaah hapa ndo ingekuwa mtifuano lakin ndo basi tena ubunifu zeroooooo clauds watakuwa super brand siku zote.........
 
Kweli clouds ni wabunifu ndio maana wamemchukua kicheko kutoka efm
 
Aiseee pengine ukajifunze zaidi maana ya ubunifu...kwa hiyo kuandaa tamasha siku moja na kugombea mashabiki ndio ubunifu? kwangu huo ungekuwa ni utoto na uchawi....
 
Aiseee pengine ukajifunze zaidi maana ya ubunifu...kwa hiyo kuandaa tamasha siku moja na kugombea mashabiki ndio ubunifu? kwangu huo ungekuwa ni utoto na uchawi....
Tena uchawi itakuwa wame copy na kupest idea ya Clouds kwa sababu itakuwa sio wazo jipy tena . Ubunifu inatakiwa nao wabuni kitu kipya cha burudni ili walete ushindani zaidi.

Clouds wamemchukia kicheko na kuchukua idea ya Majizo ya muziki wa Singeli.
 
Rudi darasani kasome masomo haya "business strategy " na service marketing .... yatakusaidia kuelewa maana ya ubunifu.
 
Mmmmmmh

Vituko hivi vya wivu havitaisha nchini.
 
[emoji297] FM ipo chini ya ccm sio kushindana nayo unatakiwa ujipange na wanajua kwenda na wakati
 
Huo unaouongelea ni ujinga sio ubunifu
 
Labda tuanze na kujua nini maana ya ubunifu, kuiga kazi ya mtu mwingine hapo utakuwa umebuni nini sasa
 

Wakimchkua diamond na huyo casper tayr redio imefirisika
 
We jamaa kuna komenti umeitoa kule kwenye jukwaa la ukubwani,basi nakutafakali sijapata jibu bado ulikusudia nini .....?
 
Mkuu naona umeshindwa kutofautisha kati ya ushindani na roho mbaya
 
wangemjuaje kicheko kama hawasikilizi
Moja ya strayergy ya kumshinda mshindani wako kwenye biashara ni kujua analofanya.
Hata ceo wa blackberry alipoona apple kazindua simu ya iphone 2g ilibidi kesho yake akainunue aipeleke kwa ma engineer wake wajua ina nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…