EFM walimualika Makonda ili wamdhalilishe?

Decree Holder

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2015
Posts
2,559
Reaction score
3,745
Kufuatia kusambaa mitandaoni kwa video inayoonesha mashabiki wa EFM wakimzomea Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alipokuwa akiongea nao siku ya tamasha lilioandaliwa na EFM linalojulikana kama komaa concert.

Hii ni wazi EFM walimuita ili wamdhalilishe huku wakijua kitakachotokea


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Aliposema mikono juu response ya watu ilikuwa positive, aliposema alichokisema ndo watu wakazomea.

Sasa kama alidhalilika ni EFM wamemdhalilisha au kajidhalilisha mwenyewe?

Reasoning ya aina gani unatumia mkuu?
Au una ushahidi kuwa EFM ndo walimlisha maneno/ walimwambia aseme maneno yaliyomfanya akazomewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…