Pre GE2025 EFM wanalipwa kueneza chuki dhidi ya wapinzani? Wananchi Ikungi wapewa script waseme wanamchukia Lissu

Pre GE2025 EFM wanalipwa kueneza chuki dhidi ya wapinzani? Wananchi Ikungi wapewa script waseme wanamchukia Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Juhudi za makusudi zinafanyika kwenye baadhi ya vyombo vya habari kuripoti mambo ambayo moja kwa moja yanatoa picha ya kufanya viongozi wa upinzani waonekane kuchukiwa na wananchi.

Mtu anaongea unajua kabisa hii script.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Eti wananchi wanahofu Lissu anaenda kwao bila familia yake, eti anawapelekea tu matatizo! Ni lini kiongozi wa CCM amawahi kwenda kwenye mikutano au kwao na familia yake?


Mnafanya mambo ya kipuuzi so obvious na kupoteza credibility kwa wananchi. Samia anaweza kutoka muda wowote akaja mwingine ambaye anapedna chombo kingine, hapo mtaanza tena kulamba miguu muingizwe kwenye payroll? CCM ikaanguka leo, mtakuja kuwaambia watanzania ilikuwa shetani sasa mmejirudi.

Watanzania tuanze kucancel vyombo vyote vya uchawa, tusapoti wale waliokuwa objective pekee, tuone wataishia wapi.
 
Wakuu,

Juhudi za makusudi zinafanyika kwenye baadhi ya vyombo vya habari kuripoti mambo ambayo moja kwa moja yanatoa picha ya kufanya viongozi wa upinzani waonekane kuchukiwa na wananchi.

Mtu anaongea unajua kabisa hii script.

Eti wananchi wanahofu Lissu anaenda kwao bila familia yake, eti anawapelekea tu matatizo! Ni lini kiongozi wa CCM amawahi kwenda kwenye mikutano au kwao na familia yake?

Mnafanya mambo ya kipuuzi so obvious na kupoteza credibility kwa wananchi. Samia anaweza kutoka muda wowote akaja mwingine ambaye anapedna chombo kingine, hapo mtaanza tena kulamba miguu muingizwe kwenye payroll? CCM ikaanguka leo, mtakuja kuwaambia watanzania ilikuwa shetani sasa mmejirudi.

Watanzania tuanze kucancel vyombo vyote vya uchawa, tusapoti wale waliokuwa objective pekee, tuone wataishia wapi.
Sisi tunatunza kumbukumbu hii vita ikiisha tutajua nani alikuwa upande wa wannchi na nani alikuwa upande wa mafisadi ya CCM.
 
Wakuu,

Juhudi za makusudi zinafanyika kwenye baadhi ya vyombo vya habari kuripoti mambo ambayo moja kwa moja yanatoa picha ya kufanya viongozi wa upinzani waonekane kuchukiwa na wananchi.

Mtu anaongea unajua kabisa hii script.

Eti wananchi wanahofu Lissu anaenda kwao bila familia yake, eti anawapelekea tu matatizo! Ni lini kiongozi wa CCM amawahi kwenda kwenye mikutano au kwao na familia yake?

Mnafanya mambo ya kipuuzi so obvious na kupoteza credibility kwa wananchi. Samia anaweza kutoka muda wowote akaja mwingine ambaye anapedna chombo kingine, hapo mtaanza tena kulamba miguu muingizwe kwenye payroll? CCM ikaanguka leo, mtakuja kuwaambia watanzania ilikuwa shetani sasa mmejirudi.

Watanzania tuanze kucancel vyombo vyote vya uchawa, tusapoti wale waliokuwa objective pekee, tuone wataishia wapi.
Sio rahisi kupendwa na kila mtu acheni uchochezi…. Yesu mwenyewe hakupendwa na kila mtu sembuse huyo mhuni wenu chiba?
 
angekuwa anapendwa sana hata kwenye uchaguzi wa ndani angepata kura zote sasa utasemaje watu wote wanampenda yeye ni nai kwanza mhuni tu huyo kwanza familia yake haipo tanzania akikinukisha anakimbia wanini sasa mtu kama huyo?
 
Wakuu,

Juhudi za makusudi zinafanyika kwenye baadhi ya vyombo vya habari kuripoti mambo ambayo moja kwa moja yanatoa picha ya kufanya viongozi wa upinzani waonekane kuchukiwa na wananchi.

Mtu anaongea unajua kabisa hii script.

Eti wananchi wanahofu Lissu anaenda kwao bila familia yake, eti anawapelekea tu matatizo! Ni lini kiongozi wa CCM amawahi kwenda kwenye mikutano au kwao na familia yake?


Mnafanya mambo ya kipuuzi so obvious na kupoteza credibility kwa wananchi. Samia anaweza kutoka muda wowote akaja mwingine ambaye anapedna chombo kingine, hapo mtaanza tena kulamba miguu muingizwe kwenye payroll? CCM ikaanguka leo, mtakuja kuwaambia watanzania ilikuwa shetani sasa mmejirudi.

Watanzania tuanze kucancel vyombo vyote vya uchawa, tusapoti wale waliokuwa objective pekee, tuone wataishia wapi.
watu wa singinda na kanda ya kati kwa ujumla hawamkubali huyo kibaka tapeli wa chadema kwasabb anawa aibisha na kuwafedhehesha mno kwenye suala la kuomba omba kuchangiwa pesa za kujikimu mara kwa mara,

hali hiyo inawafanya watu wa singinda wanaonekana kana ni kwamba watu wavivu, hawapendi kazi bali kazi yao ni kuombaomba tu kuchangiwa.

Kitu hicho kinawaudhi sana na kufanya watu wa ikungi na singinda kwa ujumla wamuone Lisu ni kama kibaka tu 🐒
 
Wakuu,

Juhudi za makusudi zinafanyika kwenye baadhi ya vyombo vya habari kuripoti mambo ambayo moja kwa moja yanatoa picha ya kufanya viongozi wa upinzani waonekane kuchukiwa na wananchi.

Mtu anaongea unajua kabisa hii script.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Eti wananchi wanahofu Lissu anaenda kwao bila familia yake, eti anawapelekea tu matatizo! Ni lini kiongozi wa CCM amawahi kwenda kwenye mikutano au kwao na familia yake?


Mnafanya mambo ya kipuuzi so obvious na kupoteza credibility kwa wananchi. Samia anaweza kutoka muda wowote akaja mwingine ambaye anapedna chombo kingine, hapo mtaanza tena kulamba miguu muingizwe kwenye payroll? CCM ikaanguka leo, mtakuja kuwaambia watanzania ilikuwa shetani sasa mmejirudi.

Watanzania tuanze kucancel vyombo vyote vya uchawa, tusapoti wale waliokuwa objective pekee, tuone wataishia wapi.
Mnaomchukia Lissu ni wachache kuliko wengi wanapenda. Na kwenye uchaguzi itakuwa hivyo hivyo! Hamtusumbui kwa chochote.
 
Wakuu,

Juhudi za makusudi zinafanyika kwenye baadhi ya vyombo vya habari kuripoti mambo ambayo moja kwa moja yanatoa picha ya kufanya viongozi wa upinzani waonekane kuchukiwa na wananchi.

Mtu anaongea unajua kabisa hii script.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Eti wananchi wanahofu Lissu anaenda kwao bila familia yake, eti anawapelekea tu matatizo! Ni lini kiongozi wa CCM amawahi kwenda kwenye mikutano au kwao na familia yake?


Mnafanya mambo ya kipuuzi so obvious na kupoteza credibility kwa wananchi. Samia anaweza kutoka muda wowote akaja mwingine ambaye anapedna chombo kingine, hapo mtaanza tena kulamba miguu muingizwe kwenye payroll? CCM ikaanguka leo, mtakuja kuwaambia watanzania ilikuwa shetani sasa mmejirudi.

Watanzania tuanze kucancel vyombo vyote vya uchawa, tusapoti wale waliokuwa objective pekee, tuone wataishia wapi.
Media ikishakubali kutumika kueneza propaganda za kijinga sisi Watanzania tunajua kitu cha kuifanya hiyo media.

Huwezi kushindana na Lissu. Kama Mungu mwenyewe alimponya marisasi yote yale ya CCM na magufuli wake ndo wawe hawa EFM wanaotumika kama condom?
 
Wakuu,

Juhudi za makusudi zinafanyika kwenye baadhi ya vyombo vya habari kuripoti mambo ambayo moja kwa moja yanatoa picha ya kufanya viongozi wa upinzani waonekane kuchukiwa na wananchi.

Mtu anaongea unajua kabisa hii script.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Eti wananchi wanahofu Lissu anaenda kwao bila familia yake, eti anawapelekea tu matatizo! Ni lini kiongozi wa CCM amawahi kwenda kwenye mikutano au kwao na familia yake?


Mnafanya mambo ya kipuuzi so obvious na kupoteza credibility kwa wananchi. Samia anaweza kutoka muda wowote akaja mwingine ambaye anapedna chombo kingine, hapo mtaanza tena kulamba miguu muingizwe kwenye payroll? CCM ikaanguka leo, mtakuja kuwaambia watanzania ilikuwa shetani sasa mmejirudi.

Watanzania tuanze kucancel vyombo vyote vya uchawa, tusapoti wale waliokuwa objective pekee, tuone wataishia wapi.
Ukimsikia adui "UJINGA", basi hawa wanyaturu watatu waliojotokeza kumwaga utumbo wao hapa, ndiyo hasa wamekabwa na huyo adui UJINGA kisawasawa...!!

Yaani wanamlaumu mbunge Tundu Lissu kuwa hajawahi kufanya chochote cha maendeleo badala wailaumu serikali yao ambayo ndiyo wanayoilipa kodi ili in return iwajengee shule, barabara, iwaletee madawa kwenye hospitali zao nk nk

Kumbe kuna wanyaturu wajinga na wapumbavu hivi kama hawa tena ktk jimbo la Singida Mashariki - Ikungi ambalo Tundu Lissu alishafanya kazi kubwa ya kuwatoa ujinga kwa kuwaelimisha kutambua HAKI na WAJIBU wao mpaka ikafikia hatua wakajua adui yao ni CCM lakini cha ajabu kumbe bado kuna mabaki ya wajinga wachache kama hawa mama na baba zetu..??

Na hapo usishangae, kwamba, kwa kujitokeza kwao tu hivyo na kuanika ujinga na upumbavu wao, wanaweza kuwa wameshawishiwa kwa kupewa pea moja ya khanga au packet moja moja ya chumvi, basi kisha wakaamua kudhulumu haki nafsi zao...!!

Angalia tu, maneno yanayotoka kwenye vinywa vyao yanapishana na kupingana mbali kabisa na mwitikio wa miili yao...!!

Wamekaririshwa maneno ya kusema. Wengine wameona aibu au kukataa kuoneshwa sura zao...

CCM imefikia kwenye kiwango cha juu kabisa cha upumbavu na kushindwa kwake...!!!!
 
Kwani uko kwenu bila ya vitisho nani anapen
angekuwa anapendwa sana hata kwenye uchaguzi wa ndani angepata kura zote sasa utasemaje watu wote wanampenda yeye ni nai kwanza mhuni tu huyo kwanza familia yake haipo tanzania akikinukisha anakimbia wanini sasa mtu kama huyo?
dwa?
 
Ukifuatilia san siasa za TZ unaweza kujikuta unachanganganyikiwaa.

20250129_014902.jpg


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 

View: https://www.instagram.com/reel/DGDYoxxsvim/?igsh=MWEzdmNjenoyaWIyYQ==

Watu mbalimbali waliiiongea na EFM wameshtushwa kusikia leo Lissu anaenda Ikungi baada ya kawatelekeza.

Wanauliza familia yake ipo wapi? Mke wake yupo wapi? Watoto wake wapo wapi? Mji wake Ikungi upo wapi?

Waambie CCM hiyo futuhi imeshagoma. Watunge kichekesho kingine.

Yaaani mnaonesha kabisa kuwa mmechanganyikiwa na Lissu na mmeishia kutunga viojq badala ya kushindwa kujibu hoja zake nzito.
 
Back
Top Bottom