EFM yamburuza Paul James mahakamani kwa kuvunja mkataba, yadai fidia ya shilingi milioni 200

Watangazaji hawana tofauti na wanasoka wa bongo.
 
Hivi reputation huwa haijalishi sana kwenye tasnia ya habari eti?? Maana watangazaji mi naona kama hawajali kabisa kuzunguka zunguka!
 
Safi na akikutwa na hatia alipe zoote.
Ilitakiwa aondoke vzuri, hata kama hakufurahia kuwepo pale angetafuta namna ambayo ata part ways na kampuni bila tatizo. Sasa ukute yeye alitoroka tuu, hapo lazma watu wa deal na wewe.
 
Hivi reputation huwa hajwlishi sana kwenye tasnia ya habari eti?? Maana watangazaji mi naona kama hawajali kabisa kuzunguka zunguka!
Tatizo ni hizi Radio mbili e-fm na Clouds Fm hawana ubunifu wowote wakukuza vipaji vya watangazaji walio nao zaidi ya kukimbizana wenyewe kwa wenyewe wakigombea watangazaji wale wale kila leo wakati wanao watangazji wanao weza kuwakuza.
 
Unapokurupuka kusaini mkataba huku hujaelewa terms za mkataba,

Sasa ndio vizur alipishwe huwez vunja mkataba wa kazi kimaandaz andazi tu
 
Halafu kuna watu wanataka Magufuli avunje mikataba ya IPTL, Madini na Mafuta etc.... Yatawagharimu kama haya zaidi ya haya muwe wapole!!


Mwacheni huyo mbwiga aswekwe ndani akili imrudi 200mil
 
Kama namwona Hando akisema "nilikwambia mshikaji"....

Huku karoho kake kanasema "ndomana karoho kalisita kurudi,bora nilibaki"...

[emoji23]PJ kikombe chako, hakikuepuki....
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwa ujumla watu wanaposaini mkataba mara nyingi wanakimbilia kuhakikisha maslai yao ndani ya mkataba yapo sawa, bila kujali vipengele vinavyo husu uvunjaji wa mkataba kama ikitokea hutaki tena huo mkataba. Matokeo yake unajikuta una athirika zaidi kulo kufaidiaka, haya ndio yamatukuta kwenye mkataba mubovu nchi yetu ili saini huko nyuma.
 
Tatizo ni hizi Radio mbili e-fm na Clouds Fm hawana ubunifu wowote wakukuza vipaji vya watangazaji walio nao zaidi ya kukimbizana wenyewe kwa wenyewe wakigombea watangazaji wale wale kila leo wakati wanao watangazji wanao weza kuwakuza.
Kweli kabisa, wanashindwa kuiga kwa Mengi, anawatoa vijana halafu station zingne wakishawaona wanawadaka.
 
Ujinga tuu..unakurupukaje ku sain mkataba n coy nyngne akat bdo una mkataba sehem engne...500m itakuw pow km fain maana ni ujinga huyu jamaa kafanya
 
mil200 ndogo sana,wacha nitafute namba za c.e.o wa efm nimpe nondo za sheria,huyo bwege anazani huo ulikua mkataba wa kuingia chooni.
 
kwanza alichofanya ni zarau sana,mbona wakati anatoka clauds alisubiri mkataba uishe?narudia tena mil 200 ndogo,napendekeza iwe mil 500
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…