EFM yamburuza Paul James mahakamani kwa kuvunja mkataba, yadai fidia ya shilingi milioni 200


Kabla tu ya kuanza kudaiwa hiyo Hela Jamaa ' kakondeana ' hivyo na sasa hivi ndiyo anatakiwa alipe hiyo Tsh 200,000,000/ je Jamaa ( PJ ) hawezi ' kukondeana ' zaidi na kuwa kama fido dido kwa kuwa na ' mawazo ' ya jinsi ya kuilipa hiyo Hela ya Efm?
 
Kiukweli PJ amejipotezea uweledi kama BWANA YULE Le Propesa,Heshima yake imeshuka kabisa,Efm wekeni kwanza court injuction asitangaze kwanza hapo Clouds FM mpaka kesi ya msingi iishe,na iwe fundisho kusoma terms and condition mnapoajiriwa,Sehemu nyingine wana declare kwamba ukiacha kazi sehemu moja hautakiwi kwenda kwa competitor(Doing Same Bizness) wao mpaka mwaka mmoja upite na si direct.
 
wanachukulia ushikaji kwenye kila kitu hawa watangazaji wa hapa DAR...!!

ngoja kwanza efm waoneshe mfano...
 
mkataba unafunga. hachomoki hapo lazima alipe
 
Msanii wetu yule hajashiriki fiesta kwakuwa inadhaminiwa na tigo wakati ye ni balozi wakudumu wa Voda watu wakamnanga na kumuona hajielewi,
Kama ni kweli basi PJ kafanya mambo ya hali ya chini sana, okay sheria ifuate mkondo wake.
 
Afu nyie wanasheria wa sikuhizi mkoje??kwanini amtunzi siri za clients kwenu.!?

Hiyo ni summons , una uhakika gani ni wanasheria ? labda mwenyewe aliipiga picha baada kuipokea
 
wanamchezea kusaga!,atawalipa fasta tu..../
KUSAGA IPO FWEZA BANA..."
 
Sijui PJ hafahamu taratibu za kuvunja mkataba au ni jeuri ya mwajiri mpya ya kwamba anaweza kufanya atavyo kwa kuwa yuko juu ya sheria, au walifikiri E FM wataiogopa Clouds kwa wako karibu na mamlaka kuu. Ni kitu cha ajabu na wala hakiingii akilini mbona mwenzake Mzee wa Jahazi alizingatia taratibu zote za kuacha kazi na kuhamia Clouds
 
Alitakiwa atoe notification ya mwezi au alipe mshahara wa mwezi nadhani mikataba mingi ipo hivi..
 
Mmmh hapo ndo mahala pake huju jamaa alizimgua sana tena sana

Awalipe tu maana hakuna namna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…