innocentmollel
JF-Expert Member
- Sep 11, 2014
- 1,702
- 748
Mzee wa jahazi anajielewa kwa mbali .PJ mzee wa pombe Kali bila kuonja asubuhi atangaziSijui PJ hafahamu taratibu za kuvunja mkataba au ni jeuri ya mwajiri mpya ya kwamba anaweza kufanya atavyo kwa kuwa yuko juu ya sheria, au walifikiri E FM wataiogopa Clouds kwa wako karibu na mamlaka kuu. Ni kitu cha ajabu na wala hakiingii akilini mbona mwenzake Mzee wa Jahazi alizingatia taratibu zote za kuacha kazi na kuhamia Clouds
Mimi.naungana na wewe, Mitanzania.sijuhi ikoje, hasa hilo jinga la kuitwa Bikira wa Kisukuma, Mishipa imemsimama utafikiri ana share E-fm. Hii case ndo kwanza imeitwa kwa hearing. Bado haijajulikana nini kilichopo kwenye Mkataba. Sheria za Kazi zipo wazi kabisa. Nini unatakiwa kufanya unapoamua ku resign Kazi. Labda kama mshahara wake ulikua ndo huo Mil. 200 lakini kama ni hii mishahara ya Kibongo unaacha kazi kwa notisi. Tusiwe mbumbumbu wa sheria. Hao E-fm wanatafuta Kiki tu nao, Huyo Bikra kapost Ujinga Juzi kuhusu Coverage ya Radio yao. Halafu watu wakamuumbua.Naona tushahukumu tayari. Inawezekana kabisa PJ anafahamu alichofanya na hakukurupuka. Mnataka kusema hizo clause za "sheria na mahusiano kazini" zimebadirika siku hizi. Na kile kifungu kuwa - unaweza kuacha kazi ndani ya masaa 24 na kulipa mshahara wa mwezi mmoja ama kufanya kazi kwa mwezi mmoja bure.
Take my words, PJ anashinda hii kesi na EFM wanaweza kumlipa PJ kwa kumchafua.
Hili swala linanishangaza sana mkuu. Privacy ya clients is at stake. Na sidhani kama tatizo ni new generation of lawyers, kuna senior counsels wanafanya haya mambo hadi aibu mkuuAfu nyie wanasheria wa sikuhizi mkoje??kwanini amtunzi siri za clients kwenu.!?
Mkubwa Pitia Pitia mikataba ya kazi utaiona hayo makitu,Kuna training za kazi unapelekwa nje ya nchi kuna hela unalipiwa ila ukikubali inabidi uifanyie kampuni chini ya miaka kadhaa kisha unaweza kuondoka ila ukiacha chini ya miaka miwili inabidi uilipe.Hakuna utaratibu wa kumlazimisha mfanyakazi kiivyo.Mkataba wa kazi upo direct
Sijahukumu labda kama umeshindwa kunielewa kama sheria hizo amefata na taratibu za kuacha kazi sidhani kama E-fm wange kwenda kulalamika... maana hizo sheria ziko wazi na sidhani kama kuna upande haufahamu hayo labda kama kuna upande umekosea kutafsiri vizuri huo mkataba...Naona tushahukumu tayari. Inawezekana kabisa PJ anafahamu alichofanya na hakukurupuka. Mnataka kusema hizo clause za "sheria na mahusiano kazini" zimebadirika siku hizi. Na kile kifungu kuwa - unaweza kuacha kazi ndani ya masaa 24 na kulipa mshahara wa mwezi mmoja ama kufanya kazi kwa mwezi mmoja bure.
Take my words, PJ anashinda hii kesi na EFM wanaweza kumlipa PJ kwa kumchafua.
[emoji121]
Mtangazaji wa Clouds FM, Paul James aka PJ ameshtakiwa mahakamani na kituo cha redio cha EFM kwa kuvunja mkataba kinyemela
Mtangazaji huyo aliondoka EFM mwanzoni mwa mwezi huu na kurejea kwenye kituo chake cha zamani, Clouds FM, alichoondoka pamoja na mwenzake Gerald Hando. EFM imefungua mashtaka katika mahakama ya kazi jijini Dar es Salaam kwa madai ya kukiuka mkataba wa kazi wa kituo hicho.
Kufuatia mashtaka hayo, EFM inadai fidia ya shilingi milioni 200 kutoka kwa mtangazaji huyo.
Inadai PJ alikatisha mkataba kiholela na kurudi tena Clouds FM bila kufuata makubaliano pamoja na sheria alizokubaliana nazo katika mkataba wake pale alipojiunga nacho.
Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa November 23, 2016 katika mahakama ya kazi jijini Dar es Salaam.
Chanzo: Bongo5
Hachomoki?. Mwenzetu imevipitia vipengele vya mkataba huo?mkataba unafunga. hachomoki hapo lazima alipe
Hapo awatamuweza kwa sababu alikuwa kwenye probation period ya miezi 6Sijui nini kinawapata watangazaji wetu? hivi kweli Pj alikuwa hafahamu kuwa kuvunja mkataba kuna taratibu zake kweli? nimesikitika sana kama kweli mtangazaji ana kurupuka tuu bila kuangalia au kusoma vipengele vya mikataba yake na mwajiri wake.
Pengine aliona kuna kipengele kinacho mruhusu kuvunja mkataba nakufanya hivyo...pengine.
Ni kweli Clouds hawakujua hilo?
Hata hivyo madai yamepelekwa kwa baraza la usuluhishi na si mahakamani.
Are you sure?Hapo awatamuweza kwa sababu alikuwa kwenye probation period ya miezi 6
Nimeshangaa mleta mada na huyo mwandishi wanaposema mahakama ya kazi wakati document waliyoambatanisha ni ya Tume ya usuruhishi.Sijui nini kinawapata watangazaji wetu? hivi kweli Pj alikuwa hafahamu kuwa kuvunja mkataba kuna taratibu zake kweli? nimesikitika sana kama kweli mtangazaji ana kurupuka tuu bila kuangalia au kusoma vipengele vya mikataba yake na mwajiri wake.
Pengine aliona kuna kipengele kinacho mruhusu kuvunja mkataba nakufanya hivyo...pengine.
Ni kweli Clouds hawakujua hilo?
Hata hivyo madai yamepelekwa kwa baraza la usuluhishi na si mahakamani.
Inategemea na mkataba wake unavyoelezeaAre you sure?