EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi

Acha na mimi niongezeke. Serikali yetu inakopakopa sana bila ridhaa ya watakaokuja kulibeba hilo deni. Yaani wananchi kupitia Bunge
 
Media uchwara za Bongo..
Wala sio uchwara kila media imesajiliwa kwa kazi fulani zipo za habari za uchunguzi,zipo za mlengo wa Upinzani nk Sasa sio umesajiliwa kuhabalisha inaanza kuwa mwanahadakati lazima ushughulikiwe hata leseni unaweza futiwa vile vile
 
😁😁😁
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Acha ujinga wewe kima,lini ukisikia Serikali ya awamu ya 6 inaomba kusamehewa Deni?

Swala la China kusamehe Ni uamzi wao na wamesamehe Nchi nyingi tuu..

Na in fact Mwendazake alipobanwa na Uviko ndio alikuwa anaimba Wazungu wamesamehe madeni Mara aseme wasimamishe ulipaji madeni na Mara ampigie Rais wa China kuomba msaada nk Tena bila aibu waliturushia hizo clip..

Serikali inakopa na inalipa vile vile
 
Habari wanajukwaa

Humu ndani mlikuwa mkimpongeza na kumsifia Gerald Hando kwa usaliti wake na chuki zake dhidi ya serikali ya awamu ya sita mbona mnamwacha peke yake sasa?

Gerald Hando alikuwepo katika utawala wa awamu ya tano hakuwahi kuzungumza hata mabaya yaliokuwepo kipindi kile aliketi kimya.
 
Wapo kimya kwani ulitaka wapige kelele ?
 
Unaleta ujuaji wakati Kuna mtu unamtegemea akulishe?

Taahira Kama yule anajua nini kuhusu Uchumi Hadi asimame na Kutoa maoni ya eti hapendi Nchi inakopa Sana? Stupid zake
 
Habari wanajukwaa .humu ndani mlikuwa mkimpongeza na kumsifia Gerald Hando kwa uusaliti wake na chuki zake dhidi ya serikali ya awamu ya sita mbona mnamwacha peke yake sasa?
Subiri hawajarudi toka Msoga inasemekana kuna ng'ombe wa mkesha alichinjwa huko
 

Si mahabiki ila usaliti na chuki kwa serikali ndio hupo hivyo?
 
Bwana Gerald amewakilisha maoni yake binafsi, Jamii imejua kwamba msimamo wa Gerald Hando ndio uko hivyo, hakubaliani na tabia ya kukopakopa tunayoenda nayo, Amesema hadharani....hata afe leo huo ndio msimamo wake..

Kosa labda nikutoa msimamo wake kwenye platform ambayo hakupaswa kufanya hivyo, ila kama Mwandishi wa habari alipaswa aanzishe kipindi ambacho wananchi wangekuwa wanatoa maoni yao juu ya mwenendo wa serikali kwenye kukopakopa.

Amepata nafasi ya kutema nyongo na kueleza ya moyoni kwake.
 
Acha ujinga wewe.... Unamlaumu marehemu kwa vitendo vya anaeishi?

Magufuli aliyakuta mangapi mazuri na mabaya ya Jakaya? Hivyo tumlaumu Magufuli kwa vitendo vya Jakaya.

Everyone must take responsibility of their actions... Tusimpake Samia mafuta kwa kulaumu anayoyafanya na decision za Magufuli.

it is unfair.
 
Binadamu akikuinua kuna siku atakushusha tu.Trulyman ni Mungu pekee
 
Onyo halijiijii hovyo.Kuna kitu kimeanza ndiyo limefuata onyo.Beware of hypocrites!
Mbona Majizzo amekwambia wasikizaji wake awakufurahishwa na kauli ya Hando ndio maana ameamua kumchukulia hatua tatizo sisi tunataka kulaumu atakisichokuwepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…