The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
HandoHuyo anayetegemea kulishwa nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HandoHuyo anayetegemea kulishwa nani?
Mtashindwa tuu!Endelea kuamini hivyo hivyo,mtu akikumbatia upumbavu unamsadiaje? Probably mna level Moja ya akili Sasa Ni kuwaacha hivyo hivyo na hizo kauli zenu za Asilimia kubwa 😆😆
Samia anawanyoosha wanaopinga Maendeleo Ila wale wakosoaji wa kawaida ruksa kabisa.Et wanasema hicho kilichotokea kwa Hando ni matokeo ya ushetani wa Jiwe? Kwamba Samia anaendeleza udikteta wa Jiwe?
Huu Ni mwaka wangapi unaisha bado mnaotakushindwa na Wala hakuna hata indicator Moja ya kushindwa 😁😁😁😁😁😁😁😁Mtashindwa tuu!
Jichekeshe.
Nidhamu ya uoga, kujipendekeza na kujigonga ndo utambulisho wa watanzaniaKiukweli nimeshangaa sana ni nini kimemtuma Majizzo kuomba msamaha kwenye public? Kuna jambo lolote baya kutoka kwa Hando? Maana yeye alisema binafsi hafurahishwi na serikali kukopokopa kama raia wa nchi ana haki ya kuishauri serikali na kutoa dukuduku lake kama katiba inavyosema.
Kwani Hando kuna sehemu kadanganya? Si kweli tunakopa? Kama hakuna ubaya kukopa kwanini Majizzo anaomba msamaha? Kama taifa tuna safari ndefu sana.
View attachment 2464611
Ina maana Hando hana kazi anamtegemea mtu?Hando
Legacy alioiacha jiwe ya kutumia mabavu itaitafuna sana hii nchi kwa kipindi kirefu sana, juzi Kuna uchaguzi umefanyika huko Tanga imetumika jiwe staili ya kuzuia mawakala wa ACT wasiingieTatizo lilianzia kwa Magufuli hili. Nchi imekuwa ya hovyo Sana.
Hata Mungu anakosolewa sembuse sisiem.
Si atakuwa ameshamfukiliza tayari??Majizo amfukuze kazi Hando, EFM ni kituo kizuri sana Cha Radio, tatizo Hando anaingia akiwa amelewa chakari halafu anaruhusiwa kuingia hewani, aweke vipimo vya kilevi mlangoni.
Na akianza kuweka kipimo hicho, akipita Hando, kitapiga alarm ambayo itafika mpaka Morogoro, na kipimo kinaweza kupiga shoti hapohapo na kuharibika
wapi na wapi na Bandiko huko juu?Legacy alioiacha jiwe ya kutumia mabavu itaitafuna sana hii nchi kwa kipindi kirefu sana, juzi Kuna uchaguzi umefanyika huko Tanga imetumika jiwe staili ya kuzuia mawakala wa ACT wasiingie
WhiteWashing.Tukumbuke Hando ni muajiriwa wa EFM hivyo chochote anachosema kikaruka hewani inakuwa EFM ndo imerusha.
Sasa EFM yenyewe haina mawazo aliyoyatoa Hando wala Management haikumtuma Hando kusema hayo na hayakuwa sehemu ya content ya kipindi alichokuwa akitanga Hando bali maoni yake binafsi ambayo angeweza kuwasilisha kupitia hata akaunti zake binafsi za mitandao ya kijamii sio kwenye chombo kile chenye management yake.
Tukiweka unafiki pembeni hakuna anayetaka matatizo yanayoweza kuepukika, tusimuone Majizo mjinga ila ukweli ni kwamba ile ni business amewekeza, Hando kama ana mtazamo wa kukosoa na kushauri Serikali atumie akaunti zake binafsi.
Kila kazi ina terms zake, kila boss analinda source zake kikamilifu.
Angekuwa nayo angesubiria salary ya Majidzo?Ina maana Hando hana kazi anamtegemea mtu?
Hata yule unayemuota, aliwanyoosha KISAWASAWASamia anawanyoosha wanaopinga Maendeleo Ila wale wakosoaji wa kawaida ruksa kabisa.
Huo ni udikteta kweupe kabisa, kwamba yeye Samia ndio anaamua kipi ukosoe na kipi usikosoe hata kama kukosoa huko hujavunja sheria wala kutumia maneno mabaya. Ni kweli ipo wazi sasa Samia hataki ukosoe kuhusu mikopo ni kwamba ameminya uhuru wa kutoa maoni katika suala la mikopo.Samia anawanyoosha wanaopinga Maendeleo Ila wale wakosoaji wa kawaida ruksa kabisa.
Aisee! Hivi una umri gani msela wangu?Angekuwa nayo angesubiria salary ya Majidzo?
Muendelezo wa Majizo kujipendekeza kufuta issues zake za NgadaKiukweli nimeshangaa sana ni nini kimemtuma Majizzo kuomba msamaha kwenye public? Kuna jambo lolote baya kutoka kwa Hando? Maana yeye alisema binafsi hafurahishwi na serikali kukopokopa kama raia wa nchi ana haki ya kuishauri serikali na kutoa dukuduku lake kama katiba inavyosema.
Kwani Hando kuna sehemu kadanganya? Si kweli tunakopa? Kama hakuna ubaya kukopa kwanini Majizzo anaomba msamaha? Kama taifa tuna safari ndefu sana.
View attachment 2464611
Magufuli ndiye hakupenda kukosolewa. Kwani hata mama hapendi kukosolewa?Wala siyo inshu ya media uchwara mkuu.
Hii nchi imefika wakati mkosoaji anaonekana Ni adui wa taifa. Majizo amepima upepo anakoelekea media yake itawekewa vikwazo vya kimya kimya Hadi afulie... kajiwahi!!
Mambo ya kupenda kusifiwa bila kukosolewa kuliasisiwa na Magufuli, mama anaendeleza. Hovyo kabisa.