Utanipa codeNimeanza kucheza mwaka jana sahizi nipo hapa. Mchezaji pekee niliemnunua hapo guadiola.Ao wengine wa bure na wengine nilisave coins
View attachment 3218160
Unyama sana mkuuNimeanza kucheza mwaka jana sahizi nipo hapa. Mchezaji pekee niliemnunua hapo guadiola.Ao wengine wa bure na wengine nilisave coins
View attachment 3218160
Naona imeshindikana tena mkuu, tutajaribu siku nyingine.32302976
Naona njia rahisi utaponiona au nikikuona online niku-invite.Utanipa code
Tupia username yako mkuuNimeanza kucheza mwaka jana sahizi nipo hapa. Mchezaji pekee niliemnunua hapo guadiola.Ao wengine wa bure na wengine nilisave coins
View attachment 3218160
Wewe tayari ni friends, nilikuwa namwambia Mill brohedokissy
Mkuu huko nimetoka na hata game bado sijalifuta ila kilichofanya niachane nalo ni kukosa changamoto mpya.amieni PPSSPP uko cc tunacheza game halisia
unacheza begginer unasemaje uoni changamoto karbu UEFA kule weka Top player ukivuka makundi 🤞Mkuu huko nimetoka na hata game bado sijalifuta ila kilichofanya niachane nalo ni kukosa changamoto mpya.
Ppsspp kinachonishinda ni hizo controller.Unamanage vipi hizo controller?karibuni
uzuri zinatumika kwa pamoja kama ni mchezaji wa PlayStation sio ngumu kabisaPpsspp kinachonishinda ni hizo controller.Unamanage vipi hizo controller?
MukhiTOSHMILL Mkuu nipe la kwako
Mkuu kuna tofauti kubwa sana unapocheza mwenyewe na unapocheza na mtu.unacheza begginer unasemaje uoni changamoto karbu UEFA kule weka Top player ukivuka makundi 🤞
Haina ya magoli na move zao za haziwezi fikia psp unalijua ilo pia uku tuna multiple kama kawa mzeeMkuu kuna tofauti kubwa sana unapocheza mwenyewe na unapocheza na mtu.
😂😂Game la kibabe, si Bora ununue 🎮 ili ucheze efootball kama unataka uhalisia.