Unamaanisha DSL ikiwekwa kuweza kuchezwa kwenye console ya PS unaacha FIFA unacheza DSL?Nimecheza magemu yote Ila DSL ni habari nyingine aisee
Anyway kila mtu na kipenda roho chake lakini mi sijaona game lenye udambwi zaidi ya DLS ndo maana hata kuna magroup kibao ya telegram na wasapu ya DLSMwenyewe yote nimecheza ila eFootball ipo mbali sana na games nyi nine.
Magemu ya FIFA na PES ni habari nyingine... Ila kwenye level ya simu DLS ni balaaaUnamaanisha DSL ikiwekwa kuweza kuchezwa kwenye console ya PS unaacha FIFA unacheza DSL?
jaribu na efootball lina gameplay nzuri sana na graphics za kutishaNimecheza magemu yote Ila DSL ni habari nyingine aisee
Dls ndo takataka miongoni mwa magemu ya mpira ya kwenye simuMwenyewe yote nimecheza ila eFootball ipo mbali sana na games nyi nine.
Sio kweli jaribu hata fifa mobile ujioneeMagemu ya FIFA na PES ni habari nyingine... Ila kwenye level ya simu DLS ni balaaa
Hiyo nimeicheza kitambo Ila hamna maajabu kama kwenye DLSSio kweli jaribu hata fifa mobile ujionee
Hilo game huwa lina boreshwa kila msimu mpya, binafsi nimeanza kucheza hilo game msimu uliopita na sijawahi kujuta, nilijaribu dls nikaona miyeyusho tuHiyo nimeicheza kitambo Ila hamna maajabu kama kwenye DLS
DLS ni habari nyingine lile game lina arosto ya hatari sana. Asilimia kubwa wenye smartphone wanalo.
Game la watoto hilo. Uliona wapi game la maana likawa na ukubwa chini ya GB 1😂. Karibu e football bwashee ukijaribu hubanduki.DLS ni habari nyingine lile game lina arosto ya hatari sana. Asilimia kubwa wenye smartphone wanalo.
Tatiz9 e football wengi wanaogoapa ku update GB 2 kila mwezi noma bora wacheze DLS tu.Sijui kwa nini baadhi ya watu wanasema dls ndo bora na hawana sababu nzuri akati linapitwa na Fifa sasa ndo liifikie eFootball 😅
kuupdate ni kila mwezi???Tatiz9 e football wengi wanaogoapa ku update GB 2 kila mwezi noma bora wacheze DLS tu.
Hivi mkuu hilo efootball hamna namna ya kulicompress na kutuma kwa njia ya telegram kama file maana nalitamani ila 2gb parefuPoint[emoji847] njoo ujaribu hili game hutojutia mkuu[emoji1787][emoji1787]