Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu upo vizuri sana👍Kikosi changu cha mwisho kukitumia nimebonda sana wahindi online match wanaquit 😂na hio formation ya 4222 ya Rafael Benitez.
Ilikua mwendo wa counter attacking football tu. Nilikua na asrosto nalo balaa sasa tangu nihisi account yangu wameshaifuta mzuka nalo umepotea.View attachment 2812465View attachment 2812466View attachment 2812467
takataka iyoDream League Soccer ndio habari ya mjini.
Natumia sumsang mkuu.Redmi nyingi za chini hazikubali ila ajabu kuna jamaa ana infinix hot 12 inacheza nilishangaa.
Wakati hata REDMI 10C haikubali. Wewe unatumia simu gani kulicheza? Halikwami kwami?View attachment 2812463
simu iwe ima RAM si chini ya 4 na processor walau G88 na kuendelea, pia kwa sim zenye cortex iwe na cortex mbilii moha iwe na A75 nyingine A55 zikuwa A55 zote ni mimba iyo,Redmi nyingi za chini hazikubali ila ajabu kuna jamaa ana infinix hot 12 inacheza nilishangaa.
Wakati hata REDMI 10C haikubali. Wewe unatumia simu gani kulicheza? Halikwami kwami?View attachment 2812463
kama umasimu kubwa weka high graphcs wenye simu za 4K/60 fps wanakula maishanimeshapakua efootball tayari aise game zuri sana ila gameplay yake ni tofauti na DLS
sawa ntaicheki hii badaekama umasimu kubwa weka high graphcs wenye simu za 4K/60 fps wanakula maisha
Nipe recommendation simu gani ya chini ya budget ya 400k - 500k inaweza kucheza ukitoa hizi Samsung. Naona redmi nyingi hazisupport hilo game. Kitu cha kushangaza infinix ya hot 12 anacheza ila Redmi wa 10C hachezi.simu iwe ima RAM si chini ya 4 na processor walau G88 na kuendelea, pia kwa sim zenye cortex iwe na cortex mbilii moha iwe na A75 nyingine A55 zikuwa A55 zote ni mimba iyo,
wale wa qualicom kuanzia 680 ivi adreno 615 kwenda juu display refresh rate isiwe chini ya 90 au 100
Kuna simu nyingine cortex A55 pia hazikubali ni kama kubet vile.simu iwe ima RAM si chini ya 4 na processor walau G88 na kuendelea, pia kwa sim zenye cortex iwe na cortex mbilii moha iwe na A75 nyingine A55 zikuwa A55 zote ni mimba iyo,
wale wa qualicom kuanzia 680 ivi adreno 615 kwenda juu display refresh rate isiwe chini ya 90 au 100
google pixel 4a au 3XlNipe recommendation simu gani ya chini ya budget ya 400k - 500k inaweza kucheza ukitoa hizi Samsung. Naona redmi nyingi hazisupport hilo game. Kitu cha kushangaza infinix ya hot 12 anacheza ila Redmi wa 10C hachezi.
cortex A 75 au 76 ndo inacheza fresh izo A55 hata ikikubali linakuwa na lag ya kufa mtuKuna simu nyingine cortex A55 pia hazikubali ni kama kubet vile.
samsung A30s pia ina balaaa sanaNa samsung A32 ni full ku enjoy nani yupo hewani ashushe Code nmu kimbizee
MhView attachment 2812394anyone online🫢😝
Huu ndo ukweli mchunguDream League Soccer ndio habari ya mjini.
Nimecheza magemu yote Ila DSL ni habari nyingine aiseeUongooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji2089][emoji2089]
Sina code nduguNipe code