Yule mtangazaji nguli na gwiji mahiri katika nyanja ya habari amekula shavu la kuendesha kipindi cha nhc shirika la nyumba na makazi yuko live tbc anaelezea mikakati ya shirika lake katika kuhakikisha manzese yote inakuwa kama masaki big up braza aminia na mikakati yenu mikali!!!
yule mtangazaji nguli na gwiji mahiri katika nyanja ya habari amekula shavu la kuendesha kipindi cha nhc shirika la nyumba na makazi yuko live tbc anaelezea mikakati ya shirika lake katika kuhakikisha manzese yote inakuwa kama masaki big up braza aminia na mikakati yenu mikali!!!
angelamba wengi mkuu!Mopaoz lazima atakua nssf ndio maana kachapia kwenye title yake<br />
<br />
Pili, inaelekea kibonde angekua basha angelamba wengi sana humu
hongera sana kibonde kwa uandishi wa habari mahiri,uliotukuka na wenye hekima kubwa.
Crap sasa unajikatizia mwenyewe!!Wewe una unguli gani bwana?wala umahili unaotaka tuujue je kwanini usiende kutanganza uhuru efraim??Yule mtangazaji nguli na gwiji mahiri katika nyanja ya habari amekula shavu la kuendesha kipindi cha nhc shirika la nyumba na makazi yuko live tbc anaelezea mikakati ya shirika lake katika kuhakikisha manzese yote inakuwa kama masaki big up braza aminia na mikakati yenu mikali!!!
<br />Kwanini hawabuni button ukii -click unamtwanga ngumi mtu anayekukera
<br />hongera sana kibonde kwa uandishi wa habari mahiri,uliotukuka na wenye hekima kubwa.
<br />Kwanini hawabuni button ukii -click unamtwanga ngumi mtu anayekukera
nssf,nhc+tbc=????
<br />Hivi umetoka usingizini ama NSSF, NHC TBC whichi is which???
Kwanini hawabuni button ukii -click unamtwanga ngumi mtu anayekukera]
uwiii mbavu zangu! AK umenichekesha hadi machozi yanatoka. JF bwana, ina burudani yake!