Mm n mwanafnz wa advance form five
Nahitaj kufaham kwamba napenda kusoma kombi ya EGM lakin swal langu n kwamba naweza kusoma kombi ioo na badae nikawa RUBAN
naomben msaada wenu tafadhal
waasili au?...yan uwe rubani hata force inainyanyua ndege hujui jina lake? au kisa unajua bei ya mafuta yake na idadi ya watu inaobeba?..navyojua hata hawa pgm wanakuwaga walimu tu maana hapa bongo bhana...