Hatime kampuni ya ndeege ya misri egypt air imetua leo hii asbh kwa mara ya kwanza na ndege aina ya airbus ikihitimisha ile shamra shmra zilizokuwa zikifanyika ndani ya wiki moja na kufanikiwa kwa mara ya kwanza kuondoka na abiria 85...
habari zaidi zinasema walipofika kulifanyika ka sherehe kidogo lakini pamoja na sherehe waliweza ku maintain kuondoka on tyme huku wa kishangiliwa na faya iliokuwa ikimwaga maji pembeni...tunawakaribisha sana wapendwa hawa
PRECISSION /AIRTANZANIA huu ndio muda wa kufanya biashara ya CONNECTIONS PAX.. TUNAWATAKIA KILA LA KHERI
Natumaini ulimaanisha kuandika "safari" na siyo "afari" kwenye heading ya thread.
Watanzania hawajalala, bali waliopewa madaraka wamelewa na kwa vyovyote vile mlevi ni mlevi tu. Watanzania hawajaua ATC au kuiozesha na kuibatiza upya! Ni ulevi wa wenye madaraka ndio unatufikisha hapa
Niamini sana, ni kwamba kwa siku chache zijazo utaiona IranAir, Qantas, e.t.c zinaanza kutua Dar!
Watanzania hawajalala, bali waliopewa madaraka wamelewa na kwa vyovyote vile mlevi ni mlevi tu. Watanzania hawajaua ATC au kuiozesha na kuibatiza upya! Ni ulevi wa wenye madaraka ndio unatufikisha hapa