Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Hakuna kitu kama hicho kwa sababu Niger wamegusa mpira wa kuanzisha na kila goli walianzisha wao mpira kwa hiyo kusema Egypt 100% maana yake Niger hakuna aliyegusa mpira
Typing errorsKweli kabisa, sasa hizo asilimia sijazielewa
🤣🤣🤣AdebayorAise, hii kitu ngeni kwangu, hata pasi moja!! It means walikua wanazurula uwanjani, aise siamini macho yangu kama nikweli🤣🤣 mpira umeisha kwa bao 3 kwa 0
Hongereni sana mafarao👏🏽👏🏽
View attachment 2366079
Ukisoma hizo data utajua tu wamekosea, accurate passes ni 2 tu halafu hao ndio wana 100% ya afpss success 😂 ina maana toka mpirabuanze zimepigwa pasi mbili tu😂