The Loyalty King
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 1,298
- 2,124
Wanajionaga kama mto Nile ni wakwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawafanyi bure, wanalipwa pesa na ilitangazwa tenda. sio fadhila.Mradi wetu wa Julius Nyerere HydroPower Project JNHPP Rufiji unaojengwa na Egypt utamalizika salama kwa kuwanyima maji wanayotaka Egypt kupitia ziwa Victoria na mto Kagera ?
Mradi wa JNHPP Rufiji unajengwa na kampuni ya kidola ya Egypt na hadi sasa ni vinu 3 katika ya tisa ndiyo vinazalisha umeme. Vinu turbines hivyo ni namba 9, namba 8 na namba 7.
Kila kinu kinauwezo wa kuzalisha 235MW. Uzalishaji ukifanywa kwa vinu vyote 9 kwa pamoja nchi itapata jumla ya 2115 MW za ziada kuingiza katika gridi ya taifa.
View attachment 3123870
hawafanyi bure, wanalipwa pesa na ilitangazwa tenda. sio fadhila.
Sasa si ndio mtawaua kabisa maana Ethiopia yeye alishajikatia maji ya blue nile anayatumia kwenye bwawa la umemeWakileta ubishi Uganda, Kenya na Tanzania tunafunga ziwa letu, kwisha habari 😀 mto Nile unabaki historia
Hawa watu wa Kaskazini ya Afrika wana matatizo......yupo Mmisri mmoja anasema wao si waafrika...vivyo hivyo kuna jamaa wa Morocco tulikuwa naye kwenye mafunzo FEDENGE naye nikamsikia vivyo hivyo akitamka kwamba yeye si Mwafrika...Kuba babake.Egypt hujiona wao pekee ndiyo wenye haki na mto huu
Kuhusu usambazaji wa maji toka ziwa victoria ni uzembe wa viongozi wetu usisingizie Misri.Comrade! Nchi yako haina uwezo wa kupigana na Misri! Na huu ndiyo ukweli mchungu. Achilia mbali kuipinga/kuidindishia! Na ndiyo maana mpaka leo eneo la nchi yetu (ikiwemo Kandavya Ziwa) hakuna maji ya uhakika kwa ajili matumizi ya nyumbani na kilimo! Na wakati huo tuna Ziwa kubwa kama Victoria!
Huku Misri wakiyachezea tu hayo maji yatokanayo na hilo Ziwa, vile wapendavyo! Tena wakifanya hivyo kwa kutumia sheria zilizosainiwa wakati wa Mkoloni.
Watake au wasitake mkataba tayari na maji yatatumika na hawana Cha kutufanyaHivi karibuni nchi 6 kati ya 11 zilizopo katika Bonde la Mto Nile ziliidhinisha itifaki ya usimamizi wa Mto Nile. Nchi hizo ni Tanzania, Burundi, Rwanda Uganda, Sudan ya Kusini na Ethiopia.
Waziri wa Maji wa Egypt amesema nchi yake haitakubali kupoteza hata mita ya ujazo ya maji ya Mto Nile. Amesema makubaliano yo yote lazima yahusishe nchi zote.
Soma Pia: Tume ya Ushirikiano wa Bonde la Mto Nile kuzinduliwa. Egypt inapinga ikidai haki zake za kikoloni zimekiukwa
===============
CAIRO – 13 October 2024: Minister of Irrigation and Water Resources Hani Sweilam called Sunday on states that ratified the Entebbe Agreement to revisit their stances and resume talks on cooperation among Nile Basin countries in a way that would not cause harm to any of them.
The minister stated at a press conference, held on the sidelines of the seventh edition of Cairo Water Week, that although Egypt had launched the Nile Basin Initiative in 1999, one of the countries aimed for reaching a deal with specific countries that contradicts international norms.
Minister Sweilam asserted Egypt's rejection to all unilateral acts and non-recognition of any non-inclusive agreements, noting that the current reality in the Nile Basin is not good. That is because riparian states have been divided into three groups. One is upstream countries, the other is East Nile countries, and the third consists of the two downstream countries. As such, he lamented the absence of a unified organization that represents the Nile Basin countries.
The irrigation minister pointed out that Egypt had already established many water projects in other Nile Basin countries contributing to their sustainable development efforts. On the other hand, he stressed that Egypt had been suffering from water poverty, and would not give up a single cubic meter of water, expressing rejection to the current form of the Entebbe Agreement.
The 11 Nile Basin Countries are Burundi, Tanzania, Rwanda, Kenya, Uganda, Republic of Sudan, Ethiopia, South Sudan, the Democratic Republic of Congo, Eritrea and Egypt. As for the six that ratified the agreement making it effective, they are Rwanda, Tanzania, Uganda, Burundi, South Sudan, and Ethiopia.