Egypt to help Tanzania build huge dam on Rufiji River

Hiyo habari imeandikwa na shirika la habari la China, wametumia neno kusaidiwa kwa hasiri maana wanaoma dili ya kujenga wameikosa.
 
Ninaogopa sana, ila kwa kasi hii ya Tanzania kuna watu wataingia periods every week badala ya kila mwezi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120][emoji23][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Nilitaka ushahidi unaoonyesha kwamba Egypt imekubali kutoa msaada wa aina Fulani katika hilo, kama ni kweli basi jambo kama hilo haliwezi kuwa ni siri lazima litaandikwa, **** una link Tafadhali tupatie ili tujiridhishe.

Kuhusu uzalishaji UMEME, kaka usijidhalilishe katika hili, lazima MAJI yawe katika movement ndiyo yanaweza kutumika, maji lazima yawe yanaingia katika dam na kutoka. Kama maji hapo stand still hayawezi kuzalisha UMEME kwasababu hayana "Potential energy" ambayo ndiyo inayotumika kusukuma pangaboya za generator na kuzalisha "Mechanical energy" ambayo inazungusha sumaku ndani ya coil kuzalisha "electric current".

Baada ya MAJI kusukuma pangaboya kutokana na kuanguka kutoka kina kirefu, lazima yaendelee na safari yake ile MAJI mengine yaje kufanya hivyo hivyo. Kama standing water yanaweza kuzalisha UMEME, basi bahari ingekuwa chanzo kizuri sana cha UMEME kwa sababu haiathiriwi na kiangazi.
 
Egypt wins tender to construct major Tanzanian dam




Date
10/22/2018 2:22:51 PM



(MENAFN) The Egyptian presidency announced the country to be lending Tanzania a hand in the construction of a major dam on the Rufiji River.

Egypt's top construction firm Arab Contractors was awarded with a contract for the design and establishment of the dam.

Egyptian presidential spokesman Bassam Rady confirmed the company to have been tasked to establish Stiegler's major Gorge dam.

The spokesman added "the dam construction will be done in a way that brings pride to Egypt, Tanzania and Africa."

MENAFN2210201800450000ID1097602365

Egypt wins tender to construct major Tanzanian dam
 
hizi periods mnaongelelea ni gani? Eti mtazipata kila wiki?Kweli mnasadiwa na vitu vingi. Hongereni.
Natumaizitawatoa kwenye list ya LDC. Smh
Una akili sana nyanyangu, hizi juhudi tunazozifanya ni wazi kwamba muda si mrefu tutatoka huko, kuna juhudi za dhati zinafanyika. Vipi ninyi ni jitihada gani mnazozifanya ziwatoe katika kundi la failed States, au mumekata tamaa hamuwezi kutoka tena?
https://www.nation.co.ke/news/Kenya...Index-rankings/1056-945310-xke1t0z/index.html
 
Binafsi siko kwenye mashindano wala mabishano, ila ni kuhusu lugha ya Malkia inayosema "....has won a tender.... " maana yake ni nini? Sioni ubaya mbona!!
 
Mmm could be. Were you taught about adjectives in school?tafadhali jibu kistaarabu.
Huyo ni mwandishi wa Kenya ambaye baada ya kuna Kenya imetajwa katika kundi la failed states, bado hajakubaliana na ukweli huo, anachofanya anajaribu kuonyesha sababu ambazo huenda zimesababisha Kenya kuwekwa katika hili kundi.

He/She is recovering from denying phase, and is entering negotiation phase, unfortunate majority of Kenyans are still at denying phase, hope you are not among them.
 
Egypt Walidhani Wana monopoly y vita,Ethiopia wamejenga dam over 80% complete n Egypt hawajafanya lolote kwa sababu y unity y great lake nations ilibidi wawe diplomatic
 
Egypt Walidhani Wana monopoly y vita,Ethiopia wamejenga dam over 80% complete n Egypt hawajafanya lolote kwa sababu y unity y great lake nations ilibidi wawe diplomatic
Sijakupata vizuri, jaribu kueleza kwa undani kidogo
 
No body's approval is needed to rank any country, what is required is a country to meet requires criteria which were decided before the analysis.

Kenya met all requirements as per international standards and awarded failed state status. I know the are many people who are jealous to see Kenya has made progress to achieve this status, hope you aren't among them.
 
Kwani kulikua na option ya kutumia maji ya Victoria?
 
Kwani kulikua na option ya kutumia maji ya Victoria?
Ilikuwepo ndio. Lakini si kwa uzalishaji wa umeme!

Ukipata mipango ya uendelezaji wa mradi wa bonde la Ziwa Victoria unaonesha namna ambavyo ziwa lingetumika na hivyo kwa namna moja ama nyingine kuathiri flow ya Maji.
 
Which requirements? I'd like to know
Is not important for you to know those requirements, there are people who have done for you, what you are suppose to know is that, " Kenya is a failed state". Enjoy your life nyanyangu.
 
Ni rahisi kwa Egypt kusupport mradi Hugo as long as wanalinda maslahi ya MTO Nile. Ingekuwa bwawa linagusa chochote kinachohusu Nile basin ungesikia kelele zao. Kiusalama ni muhimu kwao.
 
Lmao
 
You have said this a million times yet you don't have facts to support it. Next time ,avoid stating things that you don't understand .
Why Kenya could be among failed states
Hii article wakenya wenzako wenye akili amesema kila kitu kuhusu mambo yanayoifanya Kenya kuwa failed state
1)Crime
2)Extra judicial killings
3)Corruption
4)Kuzagaa kwa silaha za kivita miongoni mwa wananchi wa jamii za wafugaji
5)Tatizo la njaa la muda mrefu
6)Mgomo wa madaktari kwa zaidi ya siku 80 wakati wananchi wakiendelea kufa
7)Tribalism
8)Nepotism

Ninaomba uendeleee kutaja zingine ambazo unahisi zimechangia Kenya kuwa ranked as failed state.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…