Janerose mzalendo
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,881
- 2,813
Every country in Africa or rather say in the whole 🌍have all the vices that you just listed above. So in short, we all live in a failed worldWhy Kenya could be among failed states
Hii article wakenya wenzako wenye akili amesema kila kitu kuhusu mambo yanayoifanya Kenya kuwa failed state
1)Crime
2)Extra judicial killings
3)Corruption
4)Kuzagaa kwa silaha za kivita miongoni mwa wananchi wa jamii za wafugaji
5)Tatizo la njaa la muda mrefu
6)Mgomo wa madaktari kwa zaidi ya siku 80 wakati wananchi wakiendelea kufa
7)Tribalism
8)Nepotism
Ninaomba uendeleee kutaja zingine ambazo unahisi zimechangia Kenya kuwa ranked as failed state.