Go fuc your self, ZezetaHa ha ha, yaani ukiandika kwa ugoko wa kinyang'au ndio unajiona mjanjaa sio? Upuuzi mtupu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Go fuc your self, ZezetaHa ha ha, yaani ukiandika kwa ugoko wa kinyang'au ndio unajiona mjanjaa sio? Upuuzi mtupu.
Kujifanya mzungu mweusi kunaonyesha jinsi ulivyo mpuuzi. Yaani hujielewi na hujithamini ,ha ha ha.Go fuc your self, Zezeta
Wakenya punguzeni kula miraa tafadhali.Upuuzi mtupu in ndaganyi-ass is a human namespace
Zezeta mchoma kukuWakenya punguzeni kula miraa tafadhali.
What happened to GERD? Only 2 turbines in operation so far?
Ilikuwa wajenge ila ilikuja kugundulika hawana uwezo, uzoefu na ujuzi! Italian companies are the guys doing GERD! Ndomaana JPM alienda Egypt baada ya hapo na El-Sewedy na Arab constructor wakaja ku-sign mikataba. Jijuze mzee, hivi vitu viko online! BTW kule JNHPP kuna Mchina pia akifanya physical construction...lakini Ethiopia si ndio waliokuwa wakitushauri kuhusu Stiegler's Gorge HEP?
Tanzania: Ethiopian Experts Jet in for Stiegler's Gorge Project
A promise by the Ethiopian Prime Minister, Hailemariam Desalegn, to bring a team of dam experts to help in the implementation of Stiegler's Gorge hydroelectric project envisaged to pump into the national grid 2,100 megawatts, officially materialises today when the team jets into the country.
A statement from the Directorate of Presidential Communications quoted President John Magufuli as saying, the Ethiopian dam experts are expected to arrive in the country and later meet and hold talks with local experts ahead of the kicking off of the country's projec

www.eurasiareview.com

Ila ukweli unabaki Ethiopia ipo katika wakati mgumu na kama Egypt inataka kuichapa huu ndo muda! Maana wale watigrinya wameonyesha jinsi gani EDF ipo weak! Yaani Egypt inaweza kuwapa TLPF silaha halafu ikakaa kimya ikiangalia jinsi Ethiopia inavyosambaratika polepole!Geza Ulole ,
..kuna wakati Egypt walitaka kuja kutuchimbia visima virefu Tanzania tusivute maji toka Lake Victoria na tusiungane na nchi za bonde la mto Nile kudai kubadilishwa kwa mkataba wa matumizi ya maji ya mto huo.
..Sasa hivi tena Egypt wana mgogoro na Ethiopia kuhusu mradi wa bwawa la kufua umeme. Ethiopia wanadai bwawa halitaathiri kiwango cha maji kinachohitajika na Egypt kwa ajili ya kilimo na shughuli nyingine.
..Egypt nao wanadai bwawa hilo na matumizi yake ya maji litawaathiri vibaya kiuchumi na kijamii. Wanataka Ethiopia watumie miaka kadhaa kujaza maji yatakayokwenda kuzalisha umeme.
..Kuna mataifa mengi ambayo yamejiingiza ktk mgogoro huo. Mataifa hayo yanaegemea upande, ama Egypt au Ethiopia kwa kuangalia zaidi maslahi yao, badala ya kuzingatia haki, na utatuzi wa mgogoro.
..Pia taarifa za wataalamu wa mazingira zinatofautiana. Zipo zinazotetea hoja ya Ethiopia, na zipo zinazotetea hoja ya Egypt.
Ila ukweli unabaki Ethiopia ipo katika wakati mgumu na kama Egypt inataka kuichapa huu ndo muda! Maana wale watigrinya wameonyesha jinsi gani EDF ipo weak! Yaani Egypt inaweza kuwapa TLPF silaha halafu ikakaa kimya ikiangalia jinsi Ethiopia inavyosambaratika polepole!
hebu angalia genesis halafu wapi Mekelle ipo na sasa hivi wameungana na Oromo! Ethiopia si strong kama inavyojipambanua! internal strifes r bringing the country to its knees...lakini muasisi wa bwawa la Ethiopia ni serikali na waziri mkuu aliyetokana na TPLF.
..sasa Egypt anataka kuwatumia TPLF kukwamisha mradi huo?
..pia TPLF au Watigrinya ni asilimia ndogo sana ya watu wa Ethiopia, sidhani kama watataka kupigana vita na Ethiopia nzima.
..Watigrinya sanasana watataka kujitenga na Ethiopia, kwa hiyo Egypt anatakiwa awe makini ktk kujiingiza ktk mgogoro huo.
..Egypt wamechelewa sana kuupinga mradi wa Ethiopia. Ilitakiwa mradi huo usianze kabisa, na kwa hatua mradi ulipofikia, Egypt anatakiwa atumie busara kuliko nguvu.
..Kwa maoni yangu Egypt anatakiwa ajipange jinsi ya kuishi huku bwawa la Ethiopia likifanya kazi. Mbona Israel wanadunda ktk taifa lenye ukame kuliko Egypt?
