Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Si ndiyo hapo
Hiyo avic yenyewe ni mradi wa mchina
Wabongo ni watu wa kupingapinga tu
Ova
Amekuja kuwa ana mawaaP sikuhizi umekuwaje wewe
USSR
Jibu lako limenikumbusha hadithi ya rafiki yangu aliyekuwa anasomea udaktari, alipelekwa field Mirembe, akakutana na mgonjwa mmoja akakaa naye meza moja. Alipomkaribisha kula akamshauri yule mgonjwa akaoshe mikono kwanza, hakulipenda wazo la daktari, alikasirika sana akaondoka mezani kwa hasira, daktari aliogopa akafikiri uwezekano ni au atarudi atakuwa ameshanawa ili kula au na kitu ampige nacho. Yote alikosea, yule mgonjwa alirudi ameshika mavi yake mkononi akapakaza juu ya meza.
Pascal, hiyo siyo namna hilo jina China Town lilipatikana. Na kukuhakikishia tu kuwa zipo sehemu nyingi zenye majina ya nchi nyingine, lakini huwa ni watu wanaanzisha maduka yao wanayaregister hivyo na mtaa unajikuta umeitwa jina la huko walikotoka, lakini siyo Raisi wa njchi ame sign mkataba wa uwekezaji na eneo kuitwa jina la nchi iliyowekeza.Ni kawaida kwa host country kutumia jina la nchi yake kwenye industrial park zake, nenda hata US, kuna China Town.
P
China Town in the US, isn't an industrial park. Be informed Pasi.Ni kawaida kwa host country kutumia jina la nchi yake kwenye industrial park zake, nenda hata US, kuna China Town.
P
Sio kila kitu katika taifa ni cha kuuza.Wabongo tayari wameshawaza vinginevyo..
Kwani haiwezekana wamisri kupewa eneo lilotupu na kujenga chain ya viwanda na wakaita hilo jina huku wakilipa kodi, wakiajiri na kulipa watu wetu vizuri na bado eneo likabaki letu?....
Kinachotawala dunia ya sasa ni nguvu ya hela, kama huna nguvu ya hela basi ruhusu wenye nguvu ya hela waje wawekeze nawewe unufaike kivingine.... Watanzania tungekuwa na miguvu hata sisi tungeweza kuongea na Biden na kumwambia tunatala eneo la kutosha tujenge chain ya viwanda tuajili Americans na eneo tuliite TANZANIA IN AMERICA..
UmenichekeshaHangaya yeye kila anacholetewa ni kusaini tu
Team JPM mnaumia jinsi maza anavyoufanya uraisi kuwa urahisi sanaHangaya yeye kila anacholetewa ni kusaini tu
Miradi inatengenezwa kwetu
Wafanyakazi waswahili ajira 50,000 zinakuja za moja kwa moja bado temps na kina mama lishe
Wanafungua na training centre ya kuwasuka vijana wajue kazi za kufanya kwa vitendo kabla hawajaajiriwa
Mungu awape nini na neema inawafuata ila wanawaza jina
Haya jina la Mfugale linasaidia nini au linapunguza nini
Ila huwezi kuridhisha wote lazima kuna wakupinga hata kama ni mazuri
Bado wale walioko nje hawajatia neno [emoji23]
Hivi kwani Chief Hangaya na Jiwe walikua maadui au wapinzani ? Si walikua chama kimoja serikali moja awamu moja rais na makamu wakeTutampa magufuli asaini basi
P hajielewagi wakati mwingine bora ka comment as long as ni uzi wa maslahi. Hachelewi kukwambia Congo Street pale kkoo ni industrial park ya wacongo. Same as Morroco na hata Ghana pale Mwanza.China town is not related to any industrial park, china town in LA is full of Chinese and restaurants; sijaona industrial park
Alikuwa amesimama, mwenye misimamo zamani, siku hizi anayumba. Nahisi wote tunazeeka, tunahitaji kipato.
Bado anaweza kuwa asset kwa hii serikali. Wampe kitengo cha propaganda mitandaoni.
Pascal Mayalla ni bora zaidi kuliko mamia, maelfu waliowaajiri mitandaoni.
Kumbe wako wanao lipwa kuandika mitandaoni?!! Wengine tukandika kwa mapenzi mema ya nchi na uzalendo tu!. Basi tutakula Uzalendo wetu inatosha tukisubiri malipo kwa Mungu wa haki kwa vile tulijitahidi kuisemea haki.
Waambie washamba hawa.Ni kawaida kwa host country kutumia jina la nchi yake kwenye industrial park zake, nenda hata US, kuna China Town.
P
Usipoteshe hakuna anayepinga Uwekezaji, ajira, maslahi ya Tanzania.
Wote tunataka tufanikiwe, win-win deal.
Muhimu vigezo, masharti yote yawe wazi.
Sipotoshi
Na kuhusu vigezo kama ni kuangushana au kupiga cha juu basi wa kulaumiwa ni wanaoingia nao mikataba
Kwanini kila mradi tuwe na kinyume tu
Najua wapo wanaofurahia nchi iendelee na wengine wanajua hapa tunapigwa
Kama walioaminiwa wanaingia mikataba na wamekubaliana sawa na kama wataleta hiyana ni wao
Sisi tunataka ajira na iwe na maslahi kwa pande zote
Tuweke mikataba yote wazi. Simple, Switzerland wanafanya hivyo.
Kwa kila kitu muhimu kwa Taifa lao, tuweke wazi, tupige kura.
Maji yakatwe, umeme ukatwe, kodi, tozo, vyote tupige kura .
Katiba mpya inaweza kutusaidia kutusogeza kupata haki.
Katiba mpya ni muhimu kujenga uaminifu, kuiamini serikali, uaminifu na uadilifu kwa watumishi wa umma kwa Watanzania.
Brother pascal ,natamani sana siku moja nionane na ww.kwani ni mtu mwenye maono makubwa sana na pia unaonekana ni mtu ambaye umesoma na kuelimika na unaitumia elimu yako vizuri sana . ubarikiwe kakaNi kawaida kwa host country kutumia jina la nchi yake kwenye industrial park zake, nenda hata US, kuna China Town.
P
Wapo wameaajiri vilaza wengi tu. Wanachojua ni matusi tu.
Sasa Shaka katibu mwenezi unaweza kumlingalisha na Pascal Mayalla, Humphrey Polepole kwenye uwezo wowote. Mtu shoga, amechukua rushwa wazi, kuna audio,unampa madaraka kisa ndugu yako.
Ni hiki chama, serikali, inayowakwamishwa maendeleo kuwasaidia wananchi.