mi bado mdogo naitunza bikira yangu
Dume jike anaolewaa,
Kwani alikuwa ameoa? Hebu funguka zaidiWale wake zake sasa watafanya nini?
Ningekuwa sijaoa angekuwa mke wangu huyoDuh wanaume wa Dar wameshindwa kumtongoza Salama mpaka kidume kinetics Mombasa
Akina DJ Fetty Fettilicious[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wale wake zake sasa watafanya nini?
'Age is nothing but a number'Hongera kwake ila kaolewa umri mkubwa,
Kumbe akitupia kikike anapendeza zaid