Eheee makubwa!!!!Salama Jabiri anaolewa!

Salama ajawahi kusema kama hataki kuolewa, yawezakana alikua hajapata mchumba.
Lakini leo kapata mchumba tumpe saport aolewe,sioni tatizo la yeye kuolewa.
La sivo mtabaki kuumia na kusema mambo ambayo yeye ajawahi kufikiria hata siku moja.
Salama mimi nakutakia maisha mazuri kwenye ndoa yenu,mungu awatangulie.
Ikiwezekana unipe kadi niweze kuudhuria kwenye arusi yenu nishuhudie uzuri wako kwa mumeo siku hiyo.
 
Eti Salama nae ataenda KLINIKI Daah. Ila masikhara tuache asee u-TOM BOY sio hebu angalia dada yetu Woulpah anavyodhalilika mchana peupe maana vijana wanamfanya kama SHELL (petrol station) wanaweka wese kisha haooooò.....
 
Nitokeee hapa www who are you to judge me?? Mmeshakariri kila mwanamke ana roho mbaya. Sio wote kaka. Kwanza hyo sentensi ya mwisho imekaaa ki choko
Povu.....
 
Hivi anaweza vaa tinet kweli yule?.
Jamaa amehamishia shida kwake !!
 
Ni kweli anaolewa mwezi ujao na siku ya posa ilishapita zamani,
Anaolewa na mwanaume wa kenya mombasa, nakutakia majukumu mema kwa ndoa yako.
Magume gume yamebaki mtaani khaaa!!!!!

Jina lake Hussein Khamiss

Kaacha ile tabia yake?
 
Kaolewa na mtu wa mombasa? Sidhan kama marinda yake yatapona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…