Eid Mubarak 2008

Status
Not open for further replies.
Eid Mubarak kwa wote. Hapa Tz natumaini itakuwa jumatano.

inategemea wanafuata nani

Kama Bakwata wakisema basi ujue serikali itafuata tuu

lakini najua watzanaia wengi wasilam wataswali iddi yao tofauti na ya BAKWATA
 
Ndugu zanguni popote pale mlipo Duniani
Ninawatakieni Baraka za Idd
Mwenyezi Mungu awajaalie msheherekee kwa Amani.
 
Nawatakia waislam wote EID MUBARAK nadhani kwa waliokuwa U.k kwamba tunakula kesho IDD sasa sijui wenzetu watakuwa lini??Pamoja
 

IDD NJEMA ndugu zangu waislam!!!!!!IDD sio mwisho wa kutenda mema.
maadili na uchaji uliokuwanao wakati wa mwezi mtukufu uendeleze siku zote za maisha yako ili siku moja ukalipwe kwa wema na uchaji wako!!!


........nilitamini kweli hii sikukuu ianze alhamisi ili tuwe na long weekend tupumzike kwa siku nne zingetosha kabisa kwenda kutembelea ndugu na jamaa sehemu za mbali kidogo na kuwahi majukumu j3......anyway ndo hivyo tena 2dayz off the kazi then mapumziko....ijumaa imetuharibia kweli.........

all in all sikukuu njema watanzania zangu
 
........nilitamini kweli hii sikukuu ianze alhamisi ili tuwe na long weekend tupumzike kwa siku nne zingetosha kabisa kwenda kutembelea ndugu na jamaa sehemu za mbali kidogo ..

all in all sikukuu njema watanzania zangu

Zenj wanaweza kutangaza na Ijumaa kuwa siku ya mapumziko....
 
GAME THEORY,

..Sheikh Zayed kwanini hawajengei Waislamu wa Tanzania hata hospitali moja ya rufaa?



..EID NJEMA KWA WATANZANIA WOTE.

Khee kulikoni? Bwan Mkuu. Tanzania haina dini. Unataka hospitali ya rufaa kwa waislamu tu. Tuwatenge wenzetu wa dini na madhehebu mengine?. La hasha!!. Sheikh Zayed atajenga lakini kwa manufaa ya Wa-Tanzania wa dini zote-Inshaalla.
 
haya tena salaam za iddi from Mombasa



bila kuwasahau Muslim sisters from Amerikkka


na kule Umm Saqin



na Zenji tena
 
Engineer Mohammed upo? baraqatil eid from USA



mambo ya ahalul bait haya













 
Eid Mubarak kwa ndugu zetu Waislamu wa Tanzania waliotawanyika katika kona nne za dunia!
 
We extend greetings to the Muslim community on the happy occasion of Eid.

May the festival be a moment when we commit ourselves to work together to build a society characterized by harmony and respect for one another's beliefs.


 
Salaam sana za Eid kwa ndugu zangu Waislam .
 
Mauzo ya mdudu yalikwenda chini.....now they can make it.Eid njema msilipizie mliyoyakosa 30 days
 
Assalamu alaikum / Peace be upon you, JF Members and non Members

To whom who celebrate it, Eid Mubarak!

Happy Eid ul Fitr!. May Allah, God almighty accept your fasting and other ibadah (deed). May Allah remove all your sins, so you become as clean as when you were just born (Fitr).

Please extend your dua to those who are sick and suffering that can not celebrate this occasion as convenient as us.

To those who who don't celebrate it, God bless you all.
 

Hayo yangewezekana mkuu lakini pindi kipindi wenye nazo wanapotaka kujua mashekhe shekhena wetu watazitumiaje fedha pindi zikiletwa ili wasiongeze wake basi inakuwa mgogoro; yalishatokea hayo kwa mkuu mmoja wa Al-haramain bongo miaka hiyooo, mwishowe wakaja kumsingizia eti gaidi ili aondolewe; bila ya ajizi ustaadh wa watu Abuu-Hudhaifa akapewa notisi ya kuondoka nchi kwa muda fulani. Tuyajue yapo nayo haya pindi tukiendeleza mijadala yetu.

EID NJEMA!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…